• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

RAGA ZA DUNIA: Shujaa yaanza vibaya kampeni yake ya duru ya tatu

Na GEOFFREY ANENE TIMU ya raga ya wachezaji saba kila upande ya wanaume ya Kenya almaarufu Shujaa imeanza kampeni yake ya duru ya tatu...

Kabras Sugar yalipua Western Bulls 47-0 mjini Kakamega

Na GEOFFREY ANENE MABINGWA wa mwaka 2016 Kabras Sugar wameendelea kutoa dozi kali kwa wapinzani kwenye Ligi Kuu ya raga ya wachezaji 15...

Afrika Kusini ni wafalme wa Dubai Sevens 2019, Kenya yamaliza nambari 13

Na GEOFFREY ANENE AFRIKA Kusini ndio mabingwa wa duru ya ufunguzi ya Raga za Dunia za wachezaji saba kila upande baada ya kuchabanga...

Shujaa yajikwaa ikianza kampeni ya Raga ya Dunia mjini Dubai

Na GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya raga ya wachezaji saba kila upande ya Kenya almaarufu Shujaa imefungua kampeni yake ya Raga za Dunia...

Kabras Sugar yafanikiwa kuibwaga KCB katika raga wachezaji 15 kila upande

Na GEOFFREY ANENE KABRAS Sugar hatimaye imeonja ushindi wake wa kwanza dhidi ya KCB kwenye raga ya wachezaji 15 kila upande baada ya...

Quins hatimaye yaonja ushindi kwenye Ligi Kuu ya raga

Na GEOFFREY ANENE KENYA Harlequin hatimaye imevuna ushindi wake wa kwanza kwenye Ligi Kuu ya raga nchini (Kenya Cup) baada ya kucharaza...

Kabras, KCB na Homeboyz wanyimana pumzi Kenya Cup

Na GEOFFREY ANENE TIMU za Kabras Sugar, KCB na Homeboyz zilisalia unyo kwa unyo katika nafasi tatu za kwanza kwenye Ligi Kuu ya raga...

Kabras Sugar wasalia mbele Kenya Cup kwa alama 15 zaidi

Na GEOFFREY ANENE WAFALME wa mwaka 2016 Kabras Sugar na mabingwa watetezi KCB wako bega kwa bega juu ya Ligi Kuu ya raga (Kenya Cup) ya...

Shujaa mabingwa wapya wa Afrika

Na GEOFFREY ANENE Timu ya taifa ya raga ya wachezaji saba kila upande ya Kenya almaarufu Shujaa imemaliza ukame wa miaka mitatu bila...

Shujaa kuanza kampeni za kufuzu kwa Olimpiki Tokyo

Na CHRIS ADUNGO KIKOSI cha Kenya cha wachezaji saba kila upande, Shujaa, kitafungua kampeni za kufuzu kwa Olimpiki za Tokyo 2020 dhidi...

Kenya Sevens sasa yatupia macho mchujo wa Olimpiki

Na GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya raga ya wachezaji saba kila upande ya Kenya inaangazia sasa Kombe la Afrika mnamo Novemba baada ya...

Nyota wa raga wakubali kurejea katika kikosi cha taifa

Na CHRIS ADUNGO WANARAGA wazoefu na wa tajriba pana akiwemo Collins Injera anayejivunia kufunga idadi kubwa zaidi ya trai, wamekubali...