Tag: raga
- by adminleo
- January 25th, 2020
RAGA ZA DUNIA: Shujaa yaanza vibaya kampeni yake ya duru ya tatu
Na GEOFFREY ANENE TIMU ya raga ya wachezaji saba kila upande ya wanaume ya Kenya almaarufu Shujaa imeanza kampeni yake ya duru ya tatu...
- by adminleo
- December 7th, 2019
Kabras Sugar yalipua Western Bulls 47-0 mjini Kakamega
Na GEOFFREY ANENE MABINGWA wa mwaka 2016 Kabras Sugar wameendelea kutoa dozi kali kwa wapinzani kwenye Ligi Kuu ya raga ya wachezaji 15...
- by adminleo
- December 7th, 2019
Afrika Kusini ni wafalme wa Dubai Sevens 2019, Kenya yamaliza nambari 13
Na GEOFFREY ANENE AFRIKA Kusini ndio mabingwa wa duru ya ufunguzi ya Raga za Dunia za wachezaji saba kila upande baada ya kuchabanga...
- by adminleo
- December 6th, 2019
Shujaa yajikwaa ikianza kampeni ya Raga ya Dunia mjini Dubai
Na GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya raga ya wachezaji saba kila upande ya Kenya almaarufu Shujaa imefungua kampeni yake ya Raga za Dunia...
- by adminleo
- December 1st, 2019
Kabras Sugar yafanikiwa kuibwaga KCB katika raga wachezaji 15 kila upande
Na GEOFFREY ANENE KABRAS Sugar hatimaye imeonja ushindi wake wa kwanza dhidi ya KCB kwenye raga ya wachezaji 15 kila upande baada ya...
- by adminleo
- November 23rd, 2019
Quins hatimaye yaonja ushindi kwenye Ligi Kuu ya raga
Na GEOFFREY ANENE KENYA Harlequin hatimaye imevuna ushindi wake wa kwanza kwenye Ligi Kuu ya raga nchini (Kenya Cup) baada ya kucharaza...
- by adminleo
- November 19th, 2019
Kabras, KCB na Homeboyz wanyimana pumzi Kenya Cup
Na GEOFFREY ANENE TIMU za Kabras Sugar, KCB na Homeboyz zilisalia unyo kwa unyo katika nafasi tatu za kwanza kwenye Ligi Kuu ya raga...
- by adminleo
- November 12th, 2019
Kabras Sugar wasalia mbele Kenya Cup kwa alama 15 zaidi
Na GEOFFREY ANENE WAFALME wa mwaka 2016 Kabras Sugar na mabingwa watetezi KCB wako bega kwa bega juu ya Ligi Kuu ya raga (Kenya Cup) ya...
- by adminleo
- November 9th, 2019
Shujaa mabingwa wapya wa Afrika
Na GEOFFREY ANENE Timu ya taifa ya raga ya wachezaji saba kila upande ya Kenya almaarufu Shujaa imemaliza ukame wa miaka mitatu bila...
- by adminleo
- October 31st, 2019
Shujaa kuanza kampeni za kufuzu kwa Olimpiki Tokyo
Na CHRIS ADUNGO KIKOSI cha Kenya cha wachezaji saba kila upande, Shujaa, kitafungua kampeni za kufuzu kwa Olimpiki za Tokyo 2020 dhidi...
- by adminleo
- October 22nd, 2019
Kenya Sevens sasa yatupia macho mchujo wa Olimpiki
Na GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya raga ya wachezaji saba kila upande ya Kenya inaangazia sasa Kombe la Afrika mnamo Novemba baada ya...
- by adminleo
- October 9th, 2019
Nyota wa raga wakubali kurejea katika kikosi cha taifa
Na CHRIS ADUNGO WANARAGA wazoefu na wa tajriba pana akiwemo Collins Injera anayejivunia kufunga idadi kubwa zaidi ya trai, wamekubali...