• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 10:55 AM

Yafichuka ODM ilipanga kuiba kura 2007

Na MWANDISHI WETU SHIRIKA la kimataifa linalosifika kwa ufichuzi wa maovu ya kiuongozi, limetoa nakala ya siri ya Chama cha ODM...

Siasa zateka misaada

Na BENSON MATHEKA UHASAMA wa kisiasa kati ya Naibu Rais William Ruto na Kiongozi wa ODM Raila Odinga, ulichukua mkondo wa aibu jana...

Wakenya wamkaanga Raila kwa kuwashauri wanawe mikono badala ya kuwapa msaada

Na GEOFFREY ANENE KIONGOZI wa Chama cha ODM Raila Odinga amejipata pabaya baada ya kuandikia Wakenya barua akiwakumbusha kuepuka...

Simhitaji Uhuru kupenya Mlima Kenya, adai Raila

Na PETER MBURU KIONGOZI wa chama cha ODM Raila Odinga amesema kuwa hahitaji kushikwa mkono na Rais Uhuru Kenyatta ili kupenya Mlima...

Raila anyakua kazi ya Ruto

Na VALENTINE OBARA KIONGOZI wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga amezidi kuibua maswali kuhusu mamlaka aliyo nayo katika serikali...

Raila akemea ufisadi kanisani

CAROLINE WAFULA NA DICKENS WASONGA KIONGOZI wa chama cha ODM, Bw Raila Odinga, Ijumaa alikemea vikali viongozi wanaotumia pesa...

Hatimaye Raila atazama mwili wa Moi

Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga Jumatatu aliungana na Wakenya kutoa heshima zake za mwisho kwa Rais wa zamani marehemu...

Miereka ya Uhuru na Ruto yamwinua Raila kisiasa

Na PETER NGARE KIONGOZI wa ODM Raila Odinga amechukua fursa ya miereka baina ya Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto kujijenga...

Siwezi kufanya kazi na Ruto, asisitiza Raila

Na PETER MBURU KIONGOZI wa ODM Raila Odinga amesisitiza kuwa hawezi kamwe kushirikiana na Naibu Rais William Ruto kisiasa kutokana na...

Si lazima niwe Rais 2022 – Raila

Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga amekanusha madai kuwa anatumia mchakato wa kuleta maridhiano nchini (BBI) kumsadia...

Raila amtembelea Joho kumjulia hali

Na WANDERI KAMAU KINARA wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga, Jumamosi alimtembelea Gavana wa Mombasa, Bw Hassan Joho nyumbani kwake katika...

Niliogopa sana kupoteza ‘bedroom yangu’ Kibra – Raila

Na LEONARD ONYANGO KINARA wa ODM Raila Odinga amefichua kuwa alikuwa na hofu ya kubwagwa na Naibu wa Rais William Ruto katika uchaguzi...