Tag: raila
- by adminleo
- June 17th, 2020
Yafichuka ODM ilipanga kuiba kura 2007
Na MWANDISHI WETU SHIRIKA la kimataifa linalosifika kwa ufichuzi wa maovu ya kiuongozi, limetoa nakala ya siri ya Chama cha ODM...
- by adminleo
- May 9th, 2020
Siasa zateka misaada
Na BENSON MATHEKA UHASAMA wa kisiasa kati ya Naibu Rais William Ruto na Kiongozi wa ODM Raila Odinga, ulichukua mkondo wa aibu jana...
- by adminleo
- April 4th, 2020
Wakenya wamkaanga Raila kwa kuwashauri wanawe mikono badala ya kuwapa msaada
Na GEOFFREY ANENE KIONGOZI wa Chama cha ODM Raila Odinga amejipata pabaya baada ya kuandikia Wakenya barua akiwakumbusha kuepuka...
- by adminleo
- February 28th, 2020
Simhitaji Uhuru kupenya Mlima Kenya, adai Raila
Na PETER MBURU KIONGOZI wa chama cha ODM Raila Odinga amesema kuwa hahitaji kushikwa mkono na Rais Uhuru Kenyatta ili kupenya Mlima...
- by adminleo
- February 24th, 2020
Raila anyakua kazi ya Ruto
Na VALENTINE OBARA KIONGOZI wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga amezidi kuibua maswali kuhusu mamlaka aliyo nayo katika serikali...
- by adminleo
- February 15th, 2020
Raila akemea ufisadi kanisani
CAROLINE WAFULA NA DICKENS WASONGA KIONGOZI wa chama cha ODM, Bw Raila Odinga, Ijumaa alikemea vikali viongozi wanaotumia pesa...
- by adminleo
- February 10th, 2020
Hatimaye Raila atazama mwili wa Moi
Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga Jumatatu aliungana na Wakenya kutoa heshima zake za mwisho kwa Rais wa zamani marehemu...
- by adminleo
- February 4th, 2020
Miereka ya Uhuru na Ruto yamwinua Raila kisiasa
Na PETER NGARE KIONGOZI wa ODM Raila Odinga amechukua fursa ya miereka baina ya Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto kujijenga...
- by adminleo
- January 28th, 2020
Siwezi kufanya kazi na Ruto, asisitiza Raila
Na PETER MBURU KIONGOZI wa ODM Raila Odinga amesisitiza kuwa hawezi kamwe kushirikiana na Naibu Rais William Ruto kisiasa kutokana na...
- by adminleo
- January 19th, 2020
Si lazima niwe Rais 2022 – Raila
Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga amekanusha madai kuwa anatumia mchakato wa kuleta maridhiano nchini (BBI) kumsadia...
- by adminleo
- November 17th, 2019
Raila amtembelea Joho kumjulia hali
Na WANDERI KAMAU KINARA wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga, Jumamosi alimtembelea Gavana wa Mombasa, Bw Hassan Joho nyumbani kwake katika...
- by adminleo
- November 11th, 2019
Niliogopa sana kupoteza ‘bedroom yangu’ Kibra – Raila
Na LEONARD ONYANGO KINARA wa ODM Raila Odinga amefichua kuwa alikuwa na hofu ya kubwagwa na Naibu wa Rais William Ruto katika uchaguzi...