• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 3:53 PM

Wakereketwa wa BBI waomba kukubaliwa kucheza reggae

Na JUMA NAMLOLA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga anataka Mahakama ya Rufaa iruhusu kufanyika kwa kura ya maamuzi kuhusu BBI, wakati kesi ya...

BBI: Majaji watano walivyozima midundo ya Reggae

Na SAMMY WAWERU MAHAKAMA Kuu  Alhamisi jioni ilizima mchakato wa Ripoti ya Mpango wa Maridhiano (BBI) ikiutaja kuwa haramu, batili na...

BBI: Reggae yazimwa kwa mara ya tatu

NA BENSON MATHEKA Kwa mara ya tatu juhudi za kubadilisha Katiba ya Kenya ya 2010 zimegongwa mwamba Mahakama Kuu ilipozima mchakato wa...

Kiunjuri abadilisha wimbo, sasa asakata Reggae ya BBI

Na JAMES MURIMI ALIYEKUWA waziri wa Kilimo Mwangi Kiunjuri, amebadili msimamo wake kuhusu Mpango wa Maridhiano (BBI) na kuwataka Wakenya...

Raila atua Pwani kufunza wakazi kusakata Reggae

Na LUCY MKANYIKA KIONGOZI wa Chama cha ODM, Raila Odinga leo amepangiwa kuanza rasmi ziara yake eneo la Pwani kupigia debe mswada wa...

Corona yasimamisha ‘Reggae’ Pwani

Na MOHAMED AHMED KIVUMBI cha kisiasa kilichoanza kushika kasi katika kampeni za uchaguzi mdogo wa Msambweni kimeanza kufifia kufuatia...

Huu wimbo wa Reggae kamwe haumlengi Ruto – Raila

Na MARY WANGARI KIONGOZI wa Orange Democratic Movement (ODM) Raila Odinga amefafanua kuhusu wimbo anaopenda wa mtindo wa reggae...

Hii ‘reggae’ ya BBI nitaizima, aapa Ezekiel Mutua

NA CECIL ODONGO AFISA Mkuu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Nchini (KFCB) Dkt Ezekiel Mutua ameonya MaDJ ambao hukodishwa kutumbuiza kwenye...

Mhemuko Uhuru na Raila wakijipa raha mtindo wa Reggae

Na LEONARD ONYANGO RAIS Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM Raila Odinga walikuwa miongoni mwa mamia ya wapenzi wa muziki wa reggae...

UNESCO kulinda muziki wa Reggae kimataifa

VALENTINE OBARA na AFP MUZIKI wa reggae umepata ulinzi mkuu wa kitamaduni baada ya kutambuliwa na shirika la Umoja wa Mataifa...

Shirika lataja Reggea kama kikwazo kwa elimu ya watoto

Na CHARLES LWANGA SHIRIKA la kijamii la kupambana na mihadarati mjini Malindi limesemaa miziki ya kisasa aina ya Reggea inachangia...