Tag: shangazi akujibu
- by adminleo
- December 4th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Tuliachana kwa uzembe wake lakini bado nampenda…
Na SHANGAZI VIPI shangazi? Nilikuwa nimeolewa lakini nikamuacha mume wangu kwa sababu ya uzembe, hakutaka kuwajibika hata kulea mtoto...
- by adminleo
- December 3rd, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Nina mume lakini namuwaza sana ‘ex’ wangu
Na SHANGAZI SHIKAMOO shangazi! Nimeolewa na nina mtoto mmoja. Tatizo langu ni kuwa mara nyingi nimekuwa nikimfikiria sana aliyekuwa...
- by adminleo
- December 1st, 2019
SHANGAZI: Tangu nimshauri tukapimwe, mpenzi ananihepa
NA SHANGAZI SIZARINA Hujambo Shangazi? Nimekuwa na mwanamke mpenzi wangu kwa karibu mwaka mmoja na nimetosheka kwamba ndiye anayefaa...
- by adminleo
- November 30th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Wakwe zangu wananichukia ajabu lakini mume haoni
Na SHANGAZI NIMEOLEWA miaka mitatu sasa. Tumejaliwa mtoto mmoja. Mume wangu ananipenda sana lakini mama na dada zake wananichukia....
- by adminleo
- November 26th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Nina virusi ilhali yeye hana, naogopa kumpa tunda!
Na SHANGAZI SHIKAMOO shangazi! Nimekuwa na uhusiano wa kimapenzi kwa miaka miwili na mwanamume ninayempenda sana. Hata hivyo, nina...
- by adminleo
- November 23rd, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Alinitoroka nikiwa mjamzito sasa anataka turudiane
Na SHANGAZI HUJAMBO shangazi? Mwanamume aliyekuwa mpenzi wangu alinitoroka baada ya kunipa mimba. Nimepata mwingine anayenipenda na yuko...
- by adminleo
- November 20th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Naogopa kusalitiwa na mume mtarajiwa, nifanyeje?
Na SHANGAZI KWAKO shangazi. Nilikuwa na mpenzi na akaniacha baada ya kunipa mimba. Baadaye nilipata mwingine ambaye nilikuwa na...
- by adminleo
- November 19th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Ananipenda lakini ni mume wa mwenyewe, itakuwaje?
Na SHANGAZI SHIKAMOO shagazi? Nina umri wa miaka 22. Kuna mwanamume fulani ambaye ananipenda sana na mimi pia nampenda. Ananisaidia kwa...
- by adminleo
- November 18th, 2019
SHANGAZI: Mamangu achukia mume wangu ataka nimtaliki
NA SHANGAZI SIZARINA Hujambo Shangazi. Nimeolewa kwa miezi kadhaa sasa. Juzi tulikosana na mume wangu lakini tukasuluhisha tofauti...
- by adminleo
- November 15th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Ataka kuonja asali kabla ya kunipa hela za biashara
Na SHANGAZI VIPI shangazi? Nina umri wa miaka 24 na kuna mwanamume anayedai kuwa ananipenda na anataka kunioa. Ameahidi kunifungulia...
- by adminleo
- November 14th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Aliniambia ni mimi tu lakini nilipata nguo za mwanamke kwake
Na SHANGAZI HUJAMBO shangazi? Nina umri wa miaka 28 na nina uhusiano na mwanamume mwenye umri wa miaka 34. Juzi nilimtembelea nyumbani...
- by adminleo
- November 13th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Nimepata fununu mke ana mimba na sidhani ni yangu…
Na SHANGAZI KWAKO shangazi. Nina mke na tumejaliwa watoto wawili. Ninafanya kazi mbali na nina mwaka mmoja sasa kabla sijafika nyumbani....