Tag: shujaa
- by adminleo
- July 1st, 2020
Kenya Shujaa waridhika na nafasi ya 12 Raga ya Dunia baada ya kampeni zilizokuwa zimesalia kufutiliwa mbali
Na CHRIS ADUNGO TIMU ya taifa ya raga ya wanaraga saba kila upande, Shujaa, wamekamilisha kampeni za msimu wa 2019-20...
- by adminleo
- June 30th, 2020
AFUENI: Wachezaji wawili wa raga kusimama kizimbani tena
Na RICHARD MUNGUTI WACHEZAJI wawili maarufu wa mchezo wa raga waliohukumiwa kifungo cha miaka 15 jela kwa kosa la ubakaji Jumanne walipata...
- by adminleo
- June 25th, 2020
Odera akanusha anataka kutoroka Simbas kujiunga na Shujaa
Na GEOFFREY ANENE KOCHA wa timu ya Kenya ya raga ya wachezaji 15 kila upande Paul Odera amepuuzilia mbali madai kuwa anamezea mate...
- by adminleo
- June 25th, 2020
Wambua, Odera mstari wa mbele kupokezwa mikoba Shujaa
Na CHRIS ADUNGO KEVIN Wambua na Paul Odera ni miongoni mwa wakufunzi wanaopigiwa upatu wa kupokezwa mikoba ya timu ya taifa ya raga ya...
- by adminleo
- June 13th, 2020
Shujaa yavunja ndoa na kocha Paul Feeney
Na CHRIS ADUNGO SHIRIKISHO la Raga la Kenya (KRU) limeanzisha mchakato wa kutafuta kocha mpya wa timu ya taifa ya raga ya wachezaji saba...
- by adminleo
- June 10th, 2020
Hofu ya Shujaa baada ya raga ya Afrika kufutiliwa mbali
Na CHRIS ADUNGO KOCHA wa timu ya taifa ya wanaraga saba kila upande, Kevin Wambua, amesema kwamba kufutiliwa mbali kwa msimu wa Raga ya...
- by adminleo
- May 24th, 2020
Staa wa Shujaa Allan Makaka afariki
NA AYUMBA AYODI MWANARAGA aliyekuwa na kasi ya kupindukia Allan Makaka wa timu za raga za taifa ya Shujaaa na Simba ameaga...
- by adminleo
- January 27th, 2020
Shujaa yapiga Afrika Kusini, yasonga hatua 1
Na GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya raga ya wachezaji saba kila upande almaarufu Shujaa iliingia mduara wa 10-bora kwenye Raga ya Dunia...
- by adminleo
- November 9th, 2019
Shujaa mabingwa wapya wa Afrika
Na GEOFFREY ANENE Timu ya taifa ya raga ya wachezaji saba kila upande ya Kenya almaarufu Shujaa imemaliza ukame wa miaka mitatu bila...
- by adminleo
- October 31st, 2019
Shujaa kuanza kampeni za kufuzu kwa Olimpiki Tokyo
Na CHRIS ADUNGO KIKOSI cha Kenya cha wachezaji saba kila upande, Shujaa, kitafungua kampeni za kufuzu kwa Olimpiki za Tokyo 2020 dhidi...
- by adminleo
- June 4th, 2019
Shujaa juhudi ni kufuzu Olimpiki baada ya kunoa Raga ya Dunia
Na GEOFFREY ANENE BAADA ya Raga ya Dunia ya msimu 2018-2019 kutamatika Jumapili, Kenya sasa inaelekeza macho kwa Kombe la Afrika...
- by adminleo
- May 26th, 2019
Kenya yaburuta mkia London Sevens
Na GEOFFREY ANENE KENYA imevuta mkia kwenye duru ya tisa ya Raga ya Dunia jijini London nchini Uingereza baada ya kuchapwa na Japan 26-17...