Tag: siasa
- by adminleo
- July 25th, 2020
Binti akasirisha baba kwa kuamua kumpinga kisiasa
Na DAILY MONITOR HUKU joto la uchaguzi likiendelea kupanda nchini Uganda, mwanasiasa mmoja amemuasi bintiye aliyetangaza azma ya...
- by adminleo
- May 10th, 2020
HAMNITISHI: Joho awajibu wakosoaji wake
MOHAMED AHMED na VALENTINE OBARA GAVANA wa Mombasa, Hassan Joho amepuuzilia mbali viongozi ambao wamekuwa wakimkosoa kwa hatua...
- by adminleo
- May 10th, 2020
Uhuru aundiwa chama kipya?
Na WANDERI KAMAU IMEIBUKA kwamba mabwanyenye katika eneo la Mlima Kenya wanapanga kukitumia chama cha PNU kuwa “dau mpya” la eneo...
- by adminleo
- May 9th, 2020
Siasa zateka misaada
Na BENSON MATHEKA UHASAMA wa kisiasa kati ya Naibu Rais William Ruto na Kiongozi wa ODM Raila Odinga, ulichukua mkondo wa aibu jana...
- by adminleo
- March 14th, 2020
Ishara Naibu Rais anakwepa vikao vya Rais
Na CHARLES WASONGA MASWALI yameibuka kuhusu sababu za Naibu Rais William Ruto kukosa kuhudhuria kikao cha Baraza la Kitaifa la Usalama...
- by adminleo
- February 7th, 2020
Dkt Ruto ashauri maombolezo na mazishi ya Moi yasiingizwe siasa chafu
Na SAMMY WAWERU NAIBU Rais Dkt William Ruto amesema safari ya kumpumzisha Rais Mstaafu Daniel Toroitich Arap Moi inafaa iwe tulivu na...
- by adminleo
- November 17th, 2019
Ni kubaya lakini msinilaumu – Uhuru
Na GAKUU MATHENGE na VALENTINE OBARA RAIS Uhuru Kenyatta amekiri kwamba hali si shwari katika utawala wake lakini akajiondolea lawama...
- by adminleo
- October 16th, 2019
Rais Kenyatta akariri atastaafu ifikapo mwaka 2022
Na SAMMY WAWERU RAIS Uhuru Kenyatta amekariri Jumatano kwamba atastaafu muhula wake wa pili utakapofika tamati huku akipuuzilia mbali...
- by adminleo
- September 29th, 2019
‘Raila, Kalonzo wafaa kustaafu’
Na JUSTUS WANGA ALIYEKUWA Seneta wa Kaunti ya Machakos Johstone Muthama sasa anasema wakati umefika kwa aliyekuwa Waziri Mkuu Raila...
- by adminleo
- September 21st, 2019
Viongozi wamlaumu Ruto kuingilia siasa mashinani
Na BARNABAS BII na BENSON MATHEKA NAIBU Rais William Ruto, anakabiliwa na uasi baridi kutoka kwa viongozi wa mashinani katika ngome yake...
- by adminleo
- September 20th, 2019
MWITHIGA WA NGUGI: Wakenya hawajavuna matunda ya ugatuzi miaka sita baadaye
Na MWITHIGA WA NGUGI NI miaka tisa sasa tangu Wakenya wakumbatie mfumo wa utawala wa ugatuzi baada ya kupitisha Katiba Mpya Mwaka...
- by adminleo
- August 25th, 2019
Simhitaji Raila 2022 – Kalonzo
Na CAROLYNE AGOSA KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka, amesema hahitaji usaidizi wa kinara wa ODM, Raila Odinga, ili kushinda kiti cha...