• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 2:07 PM

Ombi klabu za Pwani ya Afrika Mashariki zirudishe ushusiano wa kisoka

  NA ABDULRAHMAN SHERIFF OMBI limetolewa kwa uhusiano mzuri wa soka baina ya klabu za sehemu za mwambao wa Pwani wa Afrika Mashariki...

Congo yazoa pointi zote tatu kwa kuishinda Kangemi Allstars FC

NA ABDULRAHMAN SHERIFF CONGO Boys FC jana ilijihakikishia pointi zote tatu za Ligi ya Taifa Daraja la Kwanza ilipoifunga Kangemi Allstars...

Wakili John Bwire Ajitokeza Kudhamini Mashindano ya Soka Wadi za Kaunti Ndogo Ya Taveta

NA ABDULRAHMAN SHERIFF  VIJANA wanahitajhika kusaidiwa kuinua vipaji vya uchezaji wao ili waweze kufanikiwa kuwa wanasoka wenye vipaji...

Timu ya Viziwi Nakuru yajiandaa kwa mashindano ya Afrika

NA RICHARD MAOSI TIMU ya viziwi kutoka Nakuru, wanaendelea kufanya mazoezi uwanjani Afraha wakijiandaa kushiriki kwenye michuano ya bara...

Mtambue mtangazaji wa soka chipukizi ‘Arocho’

Na PATRICK KILAVUKA Uwezo wa kutenda mambo unatokana na ufahamu au kujijua fika katika mintarafu ambayo uwezo wako upo! Hata hivyo,...

MMvita Youngstars yailima Annex 07 FC 3-0

NA CHARLES ONGADI, MOMBASA MVITA Youngstars FC iliendeleza msururu wa matokeo mazuri katika Ligi ya Mombasa Primia inayoandaliwa na...

Soko ya Daraja la Pili yapamba moto Pwani

NA CHARLES ONGADI MOMBASA  LIGI ya Taifa Daraja la Pili Kaskazini kundi A inaendelea kupamba moto katika viwanja mbalimbali Pwani...

Dkt Ahmed Kalebi awapa motisha Gogo Boys kujitahidi zaidi msimu huu

Na JOHN KIMWERE TIMU ya Gogo Boys imeibuka kati ya vikosi vinavyoendelea kutesa sio haba katika soka la viwango vya mashinani hasa eneo...

Lampard, Terry na Vieira wapigania nafasi ya kuwa kocha wa Bournemouth

Na MASHIRIKA ALIYEKUWA mwanasoka matata wa Arsenal, Patrick Vieira amejiunga na wachezaji wa zamani wa Chelsea – John Terry na Frank...

Kenya iliporwa Sh330.5 milioni ikipoteza pia uenyeji wa Dimba la CHAN 2018

Na DAVID MWERE SERIKALI imeshindwa kupata wamiliki wa kampuni ya Auditel Engineering & Services Limited ambao walitoweka na Sh330.5...

Django FC inavyokuza talanta za chipukizi wa Uthiru

NA PATRICK KILAVUKA Lisilobudi hutendewa! Hiyo ndiyo kauli walioichukua na kuiaminia wadau wa timu ya Django FC inayopiga hema la...

Klabu 19 kupigania taji la Ligi ya Taifa Daraja la Pili Kanda Kaskazini

NA ABDULRAHMAN SHERIFF KLAB U 19 za jimbo la Pwani zitashiriki kwenye Ligi ya Taifa Daraja la Pili Kanda ya Kaskazini inyaotarajia...