Tag: sportpesa
Ibada iliyoangusha kampuni za kamari za Betin, SportPesa
Na PAUL WAFULA MASAIBU ya kampuni ya SportPesa na kampuni nyingine za uchezaji kamari yalianza Mei mwaka uliopita, baada ya ibada moja...
SportPesa yarejea
Na CHARLES WASONGA SEKTA ya kamari imepata mwamko mpya baada Bodi ya Kudhibiti Kamari Nchini (BCLB) kurejesha leseni ya kuhudumu ya...
- by adminleo
- July 1st, 2020
Mabilioni ya SportPesa yanarejea?
Na GEOFFREY ANENE KAMPUNI ya kamari ya SportPesa imeashiria inapanga kurejea katika soko la Kenya, saa chache tu baada ya Rais Uhuru...
- by adminleo
- February 18th, 2020
Sportpesa watemwa EPL na klabu ya Everton
Na GEOFFREY ANENE WADHAMINI wa zamani wa Gor Mahia, AFC Leopards pamoja na Ligi Kuu ya Kenya (KPL), SportPesa wamepata pigo jingine...
- by adminleo
- October 1st, 2019
Kujiondoa kwa Sportpesa na Betin kutaisaidia nchi pakuu – Kanini Kega
Na Stephen Munyiri MBUNGE wa Kieni Bw Kanini Keega ameunga mkono hatua ya kampuni za kamari za Sportpesa na Betin kusimamisha shughuli...
- by adminleo
- September 28th, 2019
SportPesa, Betin zasitisha shughuli Kenya
Na MARY WANGARI KAMPUNI za ubashiri wa matokeo ya michezo za SportPesa na Betin, zimefunga shughuli nchini kwa sababu ya mvutano...
- by adminleo
- September 3rd, 2019
Sportpesa yaruhusiwa kerejelea biashara
NA BRIAN OKINDA [email protected] KAMPUNI ya Sportpesa imejiunga na baadhi ya kampuni zingine za kamari nchini...
- by adminleo
- August 8th, 2019
Ligi yatarajiwa kuanza ila kombe la kuwaniwa halijanunuliwa
Na CECIL ODONGO HUKU yakisalia majuma mawili pekee kabla ya msimu mpya wa Ligi Kuu ya Kenya (KPL) kuanza, kampuni inayoendesha ligi hiyo...
- by adminleo
- July 15th, 2019
Sportpesa yafichua imekuwa ikipata faida ya Sh54 milioni kila siku
Na PETER MBURU KAMPUNI ya michezo na Kamari Sportpesa 2018 ilikuwa ikipata faida ya Sh38, 051.75 kila dakika, ama Sh634 kila sekunde...
- by adminleo
- July 14th, 2019
Kinaya Sportpesa kutuzwa na serikali kisha kuzimwa
Na VALENTINE OBARA NIA halisi ya serikali kupiga marufuku kampuni za uchezaji kamari nchini, imeanza kutiliwa shaka kutokana na maelezo...
- by adminleo
- January 8th, 2019
Droo ya timu za Afrika Mashariki kuchuana na Everton yatajwa
Na GEOFFREY ANENE DROO ya soka ya Afrika Mashariki ya kufuzu kukutana na klabu ya Everton ya Uingereza ya SportPesa Super Cup imefanywa...
- by adminleo
- October 1st, 2018
Jackpot ya Sh208 milioni kwa mwanasiasa aliyewania ubunge na kubwagwa
NA MWANDISHI WETU ALIYEKUWA mwaniaji wa ubunge wa Konoin, Kaunti ya Bomet amejiunga na kundi la mamilionea baada ya kushinda Sh208...