Tag: SUMU
- by T L
- October 25th, 2021
Mung’aro alitiliwa sumu, wandani wadai
Na Maureen Ongala WANDANI wa Waziri Msaidizi wa Ugatuzi, Bw Gideon Mung’aro, wamemshauri kujihadhari anapokula katika sehemu za...
Upasuaji waonyesha daktari alikufa kwa sumu
Na MERCY KOSKEY UCHUNGUZI umebainisha kwamba Dkt James Gakara kutoka Nakuru ambaye aliwaua watoto wake wawili kabla ya kujaribu kujiua,...
Waliotia ‘mchele’ kwa pombe ya mteja wakamatwa
Na GEORGE MUNENE WANAWAKE wawili wanaodaiwa kumpumbaza mwanaume kisha kumwibia pesa baada ya kumtilia ‘mchele’ kwenye pombe yake,...
Jinsi miiba ya ‘Mathenge’ inavyoangamiza korongo ziwani Bogoria
Na RICHARD MAOSI KWA muda sasa miti aina ya Mathenge inayostawi kando ya Ziwa Bogoria, Kaunti ya Baringo imekuwa kero ikizingatiwa...
- by adminleo
- July 1st, 2020
Obado akana kuwapa sumu madiwani
IAN BYRON NA FAUSTINE NGILA Gavana wa Kaunti ya Migori Okoth Obado na afisa wa barabara Moses Chamwada walitoa ushaidi wao kortini...
- by adminleo
- May 25th, 2020
Ruto na Ichung’wa wakana kuwapa wakazi wa Kiambu chakula hatari
NA SIMON CIURI Utata umeibuka kuhusu aliyetoa chakula cha msaada kilichopewa wakazi wa kaunti ya Kiambu Jumatatu ikidaiwa chakula hicho...
- by adminleo
- February 16th, 2020
Asilimia 92 ya maji ya Ziwa Victoria ni kinyesi na sumu!
Na PAUL WAFULA SAMAKI wanaovuliwa kutoka Ziwa Victoria wana madini ambayo ni sumu kwa mwili wa mwanadamu, uchunguzi wa Taifa Leo...
- by adminleo
- November 26th, 2019
SHINA LA UHAI: Hatari ya sumu ipo kila twendako sio kwenye chakula pekee
Na BENSON MATHEKA UNAJUA kwamba sumu inaweza kuingia katika mwili wako kupitia pumzi na miale hatari? Wataalamu wanasema sio lazima...
- by adminleo
- August 14th, 2019
Sumu mitoni yatishia maisha ya mamilioni ya Wakenya
Na PAUL WAFULA MAMILIONI ya Wakenya wanatumia maji na vyakula vyenye sumu kwao, wanyama na mazingira. Katika muda wa miezi miwili...
- by adminleo
- July 24th, 2019
Wanafunzi waliopanga kumuua mwenzao kwa sumu wafukuzwa shuleni
Na PIUS MAUNDU WANAFUNZI watatu ambao walikuwa wakipanga kumtilia sumu mwenzao katika Shule ya Wasichana ya Makueni kuhusiana na mzozo...
- by adminleo
- June 11th, 2019
AFYA: Njia mbalimbali za kuondoa sumu mwilini
Na MARGARET MAINA [email protected] MARADHI mengi yanayowasumbua watu hivi leo yanatokana na sumu zilizopo katika...
- by adminleo
- June 5th, 2019
Wazazi wamshangaa msichana aliyekunywa sumu shuleni
OSCAR KAKAI na ANTHONY KITIMO MWANAFUNZI wa Shule ya Msingi ya Nasokol, Kaunti ya Pokot Magharibi amefariki huku mwenzake akilazwa...