• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 3:25 PM

Mung’aro alitiliwa sumu, wandani wadai

Na Maureen Ongala WANDANI wa Waziri Msaidizi wa Ugatuzi, Bw Gideon Mung’aro, wamemshauri kujihadhari anapokula katika sehemu za...

Upasuaji waonyesha daktari alikufa kwa sumu

Na MERCY KOSKEY UCHUNGUZI umebainisha kwamba Dkt James Gakara kutoka Nakuru ambaye aliwaua watoto wake wawili kabla ya kujaribu kujiua,...

Waliotia ‘mchele’ kwa pombe ya mteja wakamatwa

Na GEORGE MUNENE WANAWAKE wawili wanaodaiwa kumpumbaza mwanaume kisha kumwibia pesa baada ya kumtilia ‘mchele’ kwenye pombe yake,...

Jinsi miiba ya ‘Mathenge’ inavyoangamiza korongo ziwani Bogoria

Na RICHARD MAOSI KWA muda sasa miti aina ya Mathenge inayostawi kando ya Ziwa Bogoria, Kaunti ya Baringo imekuwa kero ikizingatiwa...

Obado akana kuwapa sumu madiwani

IAN BYRON NA FAUSTINE NGILA Gavana wa Kaunti ya Migori Okoth Obado na afisa wa barabara Moses Chamwada walitoa ushaidi wao kortini...

Ruto na Ichung’wa wakana kuwapa wakazi wa Kiambu chakula hatari

NA SIMON CIURI Utata umeibuka kuhusu aliyetoa chakula cha msaada kilichopewa wakazi wa kaunti ya Kiambu Jumatatu ikidaiwa chakula hicho...

Asilimia 92 ya maji ya Ziwa Victoria ni kinyesi na sumu!

Na PAUL WAFULA SAMAKI wanaovuliwa kutoka Ziwa Victoria wana madini ambayo ni sumu kwa mwili wa mwanadamu, uchunguzi wa Taifa Leo...

SHINA LA UHAI: Hatari ya sumu ipo kila twendako sio kwenye chakula pekee

Na BENSON MATHEKA UNAJUA kwamba sumu inaweza kuingia katika mwili wako kupitia pumzi na miale hatari? Wataalamu wanasema sio lazima...

Sumu mitoni yatishia maisha ya mamilioni ya Wakenya

Na PAUL WAFULA MAMILIONI ya Wakenya wanatumia maji na vyakula vyenye sumu kwao, wanyama na mazingira. Katika muda wa miezi miwili...

Wanafunzi waliopanga kumuua mwenzao kwa sumu wafukuzwa shuleni

Na PIUS MAUNDU WANAFUNZI watatu ambao walikuwa wakipanga kumtilia sumu mwenzao katika Shule ya Wasichana ya Makueni kuhusiana na mzozo...

AFYA: Njia mbalimbali za kuondoa sumu mwilini

Na MARGARET MAINA [email protected] MARADHI mengi yanayowasumbua watu hivi leo yanatokana na sumu zilizopo katika...

Wazazi wamshangaa msichana aliyekunywa sumu shuleni

OSCAR KAKAI na ANTHONY KITIMO MWANAFUNZI wa Shule ya Msingi ya Nasokol, Kaunti ya Pokot Magharibi amefariki huku mwenzake akilazwa...