Tag: tahariri
- by T L
- November 12th, 2022
TAHARIRI: Mashauriano na maelewano yatamalaki FKF ikianza kunyoosha soka humu nchini
NA MHARIRI HAPO jana Ijumaa katibu wa Shirikisho la Soka Nchini (FKF) Barry Otieno alitoa ratiba ya msimu mpya wa ligi kuu ya KPL na...
- by T L
- November 10th, 2022
TAHARIRI: Mauaji: kaunti zitenge bajeti za kukabili maradhi ya akili
NA MHARIRI KATIKA siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la habari kuhusu visa ambapo watu wanaangamiza jamaa au watu wa...
- by T L
- November 9th, 2022
TAHARIRI: Si lazima serikali itimize masharti yote ya shirika la kifedha la IMF
NA MHARIRI KATIKA miaka ya hivi majuzi, Shirika la Kimataifa la Kifedha (IMF) limekuwa likitoa masharti makali ya kifedha linayotaka Kenya...
- by T L
- November 8th, 2022
TAHARIRI: Magavana wasifiche maovu ya watangulizi wao
NA MHARIRI MAGAVANA walioingia mamlakani baada ya Uchaguzi Mkuu wa Agosti, wanafaa kutendea haki wananchi kwa kusaidia kulinda mali zote...
- by T L
- November 7th, 2022
TAHARIRI: Serikali izidi kuweka hatua kuokoa waathiriwa wa baa la njaa
NA MHARIRI HATUA ambazo serikali imechukua kukabiliana na njaa zinafaa kupongezwa. Kiongozi wa nchi, Rais William Ruto, amekuwa msitari...
- by T L
- November 6th, 2022
TAHARIRI: Upinzani umsukume Rais Ruto kuwajibika
NA MHARIRI NCHI bila upinzani thabiti ni hatari maana serikali inaweza kufanya lolote - ikiwemo kudidimiza asasi huru kama Idara ya...
- by T L
- November 5th, 2022
TAHARIRI: Hatua iliyopigwa na Waziri kuhusu kandanda inatia moyo ila kazi bado
NA MHARIRI WAZIRI wa Michezo Ababu Namwamba amekuwa na wiki nzima ya kwanza afisini tangu alipoapishwa kwa wadhifa huo, na kulingana na...
- by T L
- November 4th, 2022
TAHARIRI: Sekta ya afya hakika sharti irekebishwe
NA MHARIRI NI habari za kusikitisha kuwa maelfu ya miili ya watoto waliofariki katika Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta (KNH)...
- by T L
- October 27th, 2022
TAHARIRI: Mawaziri watumikie wananchi wote bila kuegemea mirengo
NA MHARIRI BAADA ya Bunge kuidhinisha mawaziri wote 24 waliopendekezwa na Rais William Ruto, sasa kilichosalia ni kuanza kutekeleza...
- by T L
- October 26th, 2022
TAHARIRI: Rais ‘sema’ neno moja tu raia wasife njaa tukiona
NA MHARIRI YEYOTE aliyeyasoma makala maalum yaliyochapishwa katika gazeti la Daily Nation toleo la Jumatatu, haikosi alitekwa na taswira...
- by T L
- October 23rd, 2022
TAHARIRI: Mageuzi katika polisi yasiingizwe siasa
NA MHARIRI JUHUDI za kutakasa huduma ya polisi ambazo zimeanzishwa na serikali ya Rais William Ruto hazifai kuingizwa siasa. Na hata...
- by T L
- October 19th, 2022
TAHARIRI: Mawaziri wawe mbele kutimiza ahadi za Ruto kwa Wakenya
NA MHARIRI HARAKATI ya kuwapiga msasa mawaziri wateule inapoingia siku ya tatu, jambo muhimu zaidi kwa watakaofuzu ni kuhakikisha kuwa...