Tag: tahariri
- by T L
- October 18th, 2022
TAHARIRI: Mawaziri wapigwe msasa bila miegemeo
NA MHARIRI RAIS William Ruto pamoja na mrengo wake wa Kenya Kwanza amekuwa katika mstari wa mbele kuhakikisha kuwa anadhibiti bunge la...
- by T L
- October 17th, 2022
TAHARIRI: Ruto, Gachagua waache siasa, ni wakati wa kuchapa kazi
NA MHARIRI KAULI za viongozi wakuu wa serikali wanazoendelea kutamka hadharani zinatia Wakenya wasiwasi kuhusu kujitolea kwao...
- by T L
- October 14th, 2022
TAHARIRI: Uhuru wa mahakama usifanyiwe masihara
NA MHARIRI ILI taifa litajwe kuwa miongoni mwa nchi zilizostawi kidemokrasia, kigezo cha kimsingi huwa ni kutoingiliana kwa tanzu zake...
- by T L
- October 11th, 2022
TAHARIRI: Ushirikiano wa Kenya, Tanzania usiwe mdomo tu
NA MHARIRI HATUA ya marais wa Kenya na Tanzania kuamua kukamilisha makubaliano ya awali kati ya nchi hizi mbili, itasaidia kuharakisha...
- by T L
- October 9th, 2022
TAHARIRI: CBC: Machogu avae viatu vya Magoha
NA MHARIRI RAIS William Ruto amemteua Ezekiel Machogu kuwa waziri mpya wa elimu, akisubiri kupigwa msasa na wabunge. Mtangulizi wake...
- by T L
- October 5th, 2022
TAHARIRI: Tutahadhari tukikumbatia vyakula hivi vya GMO
NA MHARIRI MNAMO Jumatatu, Rais William Ruto aliondoa marufuku iliyowekewa vyakula vilivyofanyiwa mabadiliko ya kisayansi almaarufu...
- by T L
- October 4th, 2022
TAHARIRI: Miradi ya nyumba za bei nafuu ikamilishwe
NA MHARIRI UJENZI wa nyumba za bei nafuu kwa wananchi ilikuwa mojawapo ya ahadi kuu ambazo serikali ya Rais William Ruto ilitoa katika...
- by T L
- October 3rd, 2022
TAHARIRI: Visasi na chuki ni vikwazo kwa nchi kuendelea
NA MHARIRI UONGOZI ni jukumu kubwa ambalo viongozi hutwikwa na wananchi. Punde baada ya uchaguzi, huwa jukumu la waliochaguliwa...
- by T L
- October 1st, 2022
TAHARIRI: Serikali na kampuni zitoe ajira kwa chipukizi wenye vipaji
NA MHARIRI UKOSEFU wa ajira ni mojawapo ya matatizo yanayokumba si tu taifa la Kenya bali bara zima la Afrika na maeneo mengi...
- by T L
- September 27th, 2022
TAHARIRI: Haki za walemavu zitiliwe maanani kwa CBC
NA MHARIRI KILIO kuhusu utekelezaji wa mfumo wa elimu ya CBC kwa watoto walemavu, kinafaa kuchukuliwa kwa uzito. Kwa muda mrefu sasa,...
- by T L
- September 24th, 2022
TAHARIRI: Wakati wa serikali mpya kuinusuru soka ni sasa
NA MHARIRI MATUKIO yaliyoshuhudiwa wiki hii yametumbukiza wadau wa soka nchini katika giza, mtafaruku, mashaka na hofu kuu kuhusu ni upi...
- by T L
- September 21st, 2022
TAHARIRI: Njia za kujiondoa kutoka muungano wa kisiasa zi wazi, UDM wazifuate
NA MHARIRI KELELE zinazoendelea kusikika kutoka kwa wanasiasa wa chama cha United Democratic Movement (UDM) kuhusu kujiondoa kutoka kwa...