Tag: uchina
- by adminleo
- March 12th, 2019
TZ yachoma samaki wenye sumu kutoka China huku Kenya ikizidi kununua
Na PETER MBURU SERIKALI ya Tanzania Jumatatu iliteketeza shehena ya tani 11 za samaki kutoka Uchina, baada ya kudaiwa kuwa na sumu, ya...
- by adminleo
- January 17th, 2019
Uchina yafanikiwa kukuza mimea kwa mwezi
MASHIRIKA Na PETER MBURU UCHINA imefanikiwa kupanda mimea kwenye mwezi kwa mara ya kwanza katika historia, baada ya mimea ya pamba ambayo...
- by adminleo
- January 17th, 2019
Mchina taabani kwa kuuzia wateja hotidogi za nyama ya mbwa
MASHIRIKA Na PETER MBURU MWANAUME raia wa China ambaye alikuwa akiishi Marekani alikamatwa na polisi wa New York, baada ya kujulikana kuwa...
- by adminleo
- January 15th, 2019
Tiketi za SGR: DPP sasa aitisha faili za Wachina
Na PHILIP MUYANGA MKURUGENZI wa mashtaka ya umma Noordin Haji ameitisha faili ya raia watatu wa China waliokamatwa kuhusiana na...
- by adminleo
- January 15th, 2019
Hofu mpya kuhusu madeni ya Uchina
Na LEONARD ONYANGO SERIKALI Jumatatu ilikaa kimya kuhusu taarifa kuwa imepatia China uhuru wa kutwaa mali ya Kenya ipendavyo iwapo...
- by adminleo
- January 8th, 2019
UBABE: Hatari ya vita baina ya Amerika na Uchina yanukia 2019
NA FAUSTINE NGILA KATIKA taarifa za kimataifa za miaka ya hivi karibuni, vita vya kiuchumi baina ya Amerika na Uchina zimetawala kwenye...
- by adminleo
- January 2nd, 2019
Bandari yetu haitatwaliwa, tutakopa zaidi kutoka Uchina – Uhuru
Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta amekana madai kuwa Bandari ya Mombasa ilitumiwa kama dhamana kwa mkopo kutoka kwa Benki ya Exim...
- by adminleo
- December 31st, 2018
Tilapia wa bei nafuu kutoka Uchina ni hatari kwa afya – Utafiti
Na ALLAN OLINGO na FAUSTINE NGILA UTADHANI kitoweo cha samaki unachokula kwenye mikahawa ya mijini hapa Kenya kimetoka kwa maziwa ya...
- by adminleo
- December 28th, 2018
Hatuna nia ya kutwaa bandari ya Mombasa, China sasa yasema
Na EDWIN OKOTH SERIKALI ya China imekanusha kuorodhesha Bandari ya Mombasa kama dhamana ya kufadhili ujenzi wa reli ya kisasa nchini...
- by adminleo
- December 20th, 2018
DENI: Huenda Kenya ikapokonywa Bandari ya Mombasa na Uchina
NA BENSON MATHEKA KENYA imo hatarini kupokonywa bandari ya Mombasa na serikali ya Uchina ili kulipia sehemu ya deni kubwa ambalo...
- by adminleo
- December 1st, 2018
Wapenzi wa M-Pesa sasa kutuma hela moja kwa moja hadi Uchina
Na BERNARDINE MUTANU WATUMIZI wa M-Pesa sasa wanaweza kutuma pesa moja kwa moja hadi Uchina kwa kutumia mtandao mkubwa zaidi nchi humo,...
- by adminleo
- November 28th, 2018
MADENI: Kenya hatarini kupigwa mnada na Uchina
PATRICK ALUSHULA Na VALENTINE OBARA Kwa muhtasari: Huenda Uchina ikatwaa Bandari ya Mombasa, JKIA, Reli ya SGR na ardhi Kenya...