Tag: ufisadi
- by adminleo
- September 4th, 2019
Wafanyakazi hewa wamemumunya Sh300m Nyamira – Ripoti
NA RUTH MBULA KAUNTI ya Nyamira imewalipa wafanyakazi hewa zaidi ya Sh300 milioni kwa kipindi cha miaka minne iliyopita kulingana na...
- by adminleo
- September 3rd, 2019
Naibu Chansela wa Chuo Kikuu cha Maasai Mara kikaangoni
Na WANDERI KAMAU CHAMA cha Wafanyakazi wa Vyuo Vikuu Kenya (KUSU) kinamtaka Naibu Chansela wa Chuo Kikuu cha Maasai Mara Prof Mary...
- by adminleo
- August 27th, 2019
UFISADI: Uhuru azimia marafiki simu
ANTHONY KITIMO NA MOHAMED AHMED RAIS Uhuru Kenyatta amesema hatakuwa akijibu simu za watu wanaotaka aingilie kati kuwasaidia...
- by adminleo
- August 12th, 2019
Wakuu wa jela wahamishwa kashfa ikizuka
VINCENT ACHUKA na DOMINIC WABALA SERIKALI imewahamisha maafisa wanaosimamia magereza nchini. Katibu wa Wizara anayesimamia Idara ya...
- by adminleo
- August 9th, 2019
Komeni kutegemea misaada na kuwa walafi, Amerika yaikemea Kenya
Na JUMA NAMLOLA SERIKALI ya Marekani imeikemea Kenya kwa kuendelea kutegemea misaada kutoka nje, ilhali haijachukua hatua za kutosha...
- by adminleo
- July 29th, 2019
BABA YAO: Nilikuwa humu humu tu, sikuhepa!
Na ANITA CHEPKOECH BAADA ya mchezo wa paka na panya kushuhudiwa kati ya Gavana wa Kiambu Ferdinand Waititu na maafisa wa Idara ya...
- by adminleo
- July 28th, 2019
Kalonzo, Mudavadi wamtetea Uhuru
LEONARD ONYANGO na VALENTINE OBARA VIONGOZI wa kisiasa Jumapili walimtetea vikali Rais Uhuru Kenyatta kwa juhudi zake za kupambana na...
- by adminleo
- July 28th, 2019
Ufisadi ni propaganda tupu – Ruto
Na WAIKWA MAINA na CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto amepuuzilia mbali kampeni inayoendelea dhidi ya ufisadi akisema ni propaganda...
- by adminleo
- July 25th, 2019
Kichapo kwa wanasiasa fisadi
BRIAN WASUNA na BENSON MATHEKA WATUMISHI wa umma wenye maazimio ya kisiasa walioshtakiwa kwa ufisadi, na wanasiasa wanaokumbwa na...
- by adminleo
- July 24th, 2019
Kashfa zatia doa uteuzi wa mawaziri
Na VALENTINE OBARA ONGEZEKO la mawaziri wanaoondoka mamlakani katika utawala wa Rais Uhuru Kenyatta, limeibua maswali kuhusu mambo...
- by adminleo
- July 23rd, 2019
TAHARIRI: Kazi kwa mahakama sasa kuhukumu mafisadi
NA MHARIRI Kushtakiwa kwa Waziri wa Fedha Henry Rotich, Katibu wa Wizara Kamau Thugge na maafisa wakuu wengine wa Mamlaka ya Maendeleo...
- by adminleo
- July 22nd, 2019
Vitimbi vya ‘Kamata Kamata’ vyarudi Rotich akibambwa
Na WAANDISHI WETU IDARA ya Uchunguzi wa Uhalifu (DCI) Jumatatu ilirejelea shughuli zake za kukamata washukiwa wa ufisadi, almaarufu kama...