Tag: ugaidi
- by T L
- March 23rd, 2022
Dereva afungwa maisha kwa kusaidia magaidi kuteka Wacuba
Na RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA dereva kaunti ya Mandera aliyewasaidia magaidi wa Al Shabaab kuwateka nyara madaktari wawiili kutoka Cuba...
- by T L
- December 3rd, 2021
Nyumba ya gaidi wa Al Shabaab kutwaliwa na serikali
Na RICHARD MUNGUTI NYUMBA ya mwanamke iliyojengwa na fedha za kundi la magaidi wa Al Shabaab jijini Nairobi imetwaliwa na...
- by T L
- November 8th, 2021
Mshukiwa wa ugaidi taabani
Na RICHARD MUNGUTI MSHUKIWA wa kundi la ugaidi Al Shabaab alipatikana na kesi ya kujibu na Mahakama ya Milimani Nairobi Jumatatu. Hakimu...
Waislamu wakemea serikali kuhusu utekaji wa washukiwa wa ugaidi
WINNIE ATIENO na BRIAN OCHARO VIONGOZI wa Kiislamu wameishutumu serikali kwa kuongezeka kwa visa vya kupotezwa kwa washukiwa wa ugaidi...
Amerika yafungia Taliban pesa
Na MASHIRIKA AMERIKA imefunga akaunti za Benki Kuu ya Afghanistan zenye Sh950 bilioni ili kuuzuia utawala mpya wa Taliban kupata fedha...
Shambulizi la bomu 1998 lilivyomtosa kwa usanii
NA ABDULRAHMAN SHERIFF AKIWA miongoni mwa Wakenya walioathiriwa wakati wa maafa ya bomu la Balozi wa Marekani jijini Nairobi mnamo...
Fumbo kuhusu mauaji ya mfanyabiashara Bashir
NA MARY WAMBUI MASWALI yanaendelea kuibuka iwapo mfanyabiashara Mohamud Bashir aliyeuawa katika hali ya kutatanisha, alikuwa akisakwa na...
Corona yasukuma watoto kushiriki katika ugaidi – UN
Na MASHIRIKA NEW YORK, AMERIKA JANGA la corona linasukuma watoto kutoka familia masikini katika maeneo yanayokumbwa na mizozo, hasa...
Walimu waililia serikali iwalinde dhidi ya ugaidi
Na Manase Otsialo CHAMA cha Walimu nchini (KNUT) kimeitaka serikali ihakikishe usalama unaimarishwa Kaunti ya Mandera ili masomo yarejee...
Unyama magaidi wakilipua ambulensi ya mjamzito
Na MARY WAMBUI MTU mmoja alifariki baada ya magaidi kushambulia ambulensi ya Serikali ya Kaunti ya Mandera usiku wa kuamkia...
Ugaidi Lamu ulipungua 2020
Na KALUME KAZUNGU WAKAZI wa kaunti ya Lamu wana matumaini makubwa kwamba vita dhidi ya magaidi wa Al-Shabaab vitamalizwa eneo hilo...
Ugaidi wafanya vijiji Lamu visalie mahame
Na KALUME KAZUNGU MAGAIDI wa Al-Shabaab wamevuruga maisha ya wakazi kwenye vijiji kadha vya Lamu ambavyo miaka iliyopita vilishuhudia...