Tag: uhuru
- by adminleo
- January 25th, 2020
Wandani wa Ruto wamrai Rais Uhuru asimteme
BENSON AMADALA na SHABAN MAKOKHA WANDANI wa Naibu Rais William Ruto wamemwomba Rais Uhuru Kenyatta kutomtenga Dkt Ruto anapomaliza...
- by adminleo
- January 6th, 2020
Yaibuka Ruto ‘alimsindikiza’ Uhuru uchaguzini
Na MWANDISHI WETU HUENDA Rais Uhuru Kenyatta alisaidiwa na wataalamu wa kampuni iliyosimamia kampeni zake ya Cambridge Analytica,...
- by adminleo
- December 9th, 2019
Sababu ya Uhuru kumfuata Ruto kanisani
Na VALENTINE OBARA Wakenya wengine walishangaa kwa nini mchango wake ulitangazwa, ilhali Kanisa Katoliki lilitoa masharti mapya kuhusu...
- by adminleo
- November 17th, 2019
Ni kubaya lakini msinilaumu – Uhuru
Na GAKUU MATHENGE na VALENTINE OBARA RAIS Uhuru Kenyatta amekiri kwamba hali si shwari katika utawala wake lakini akajiondolea lawama...
- by adminleo
- October 21st, 2019
Mavazi ya Uhuru, Raila yaibua gumzo
Na WAANDISHI WETU RAIS Uhuru Kenyatta na Kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga waliibua mjadala Jumapili walipowasili wakiwa wamevaa mavazi...
- by adminleo
- October 10th, 2019
Uhuru akosa njia Kibra
Na BENSON MATHEKA MGAWANYIKO katika chama cha Jubilee kuhusu uchaguzi mdogo wa eneobunge la Kibra pamoja na handisheki zimemuacha Rais...
- by adminleo
- September 26th, 2019
Wabunge wailaumu KRA kwa kushindwa kukusanya Sh158 bilioni
Na CHARLES WASONGA MAMLAKA ya Ukusanyaji Ushuru Nchini (KRA) Jumatano ililaumiwa kwa kufeli kukusanya ushuru unaofikia kiasi cha Sh158...
- by adminleo
- September 7th, 2019
Uhuru ashauri viongozi wa Pwani waungane
Na PSCU Na BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta ametoa wito kwa viongozi wa eneo la Pwani kuungana na kufanya kazi kwa pamoja ili...
- by adminleo
- June 19th, 2019
Msingi wa Mlima Kenya kumkaidi Uhuru watolewa ufafanuzi
Na MWANGI MUIRURI MATUMAINI ya wanaolenga kutwaa kura za Mlima Kenya kupitia ushawishi wa Rais Uhuru Kenyatta eneo hilo wanaonywa kuwa...
- by adminleo
- June 16th, 2019
Uhuru, Raila wakutana kisiri ufuoni
Na CAROLINE WAFULA na VICTOR RABALLA RAIS Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM, Raila Odinga, Ijumaa jioni walifanya mkutano wa kisiri...
- by adminleo
- June 1st, 2019
Rais Kenyatta awaonya wafanyabiashara wakiritimba, wenye tamaa wanaochangia mfumkobei
Na SAMMY WAWERU RAIS Uhuru Kenyatta Jumamosi amewaonya wafanyabiashara wenye mazoea ya kuongeza bei za bidhaa kiholela hasa za...
- by adminleo
- April 28th, 2019
JAMVI: Sababu za Uhuru kuogopa kuitisha kikao Jubilee
Na CHARLES WASONGA IMEBAINIKA kuwa Rais Uhuru Kenyatta anasita kuitisha mkutano wa kundi la wabunge wa chama cha Jubilee kwa hofu ya...