• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

CLARA VUGUTSA: Nalenga kuwapa mafunzo ya uigizaji wasanii chipukizi

Na JOHN KIMWERE NI miongoni mwa wasanii wa kike wanaoibukia wanaolenga kusaidia wenzao na kupiga hatua katika tasnia ya maigizo miaka...

SALOME NJERI: Mtambue ‘Mama Chapo’ wa kipindi cha Maria

Na JOHN KIMWERE INGAWA ndio ameanza kupata umaarufu katika sekta ya maigizo amepania kumiliki brandi yake ili kukuza talanta za...

RAEL ODIPO: Uigizaji si mzaha, lazima ujitume

Na JOHN KIMWERE NI ndoto ya kila msanii kuona anaimarika katika sanaa yake na kutambulika kote duniani. Rael Adhiambo Odipo ni kati ya...

THOMAS OLYBOLE: Kenya ina uwezo wa kuandaa filamu za kiwango cha Hollywood

Na JOHN KIMWERE NI miongoni mwa waigizaji wachache wa kiume wanaoibukia pia wanaopania kuibuka kati ya wanamaigizo mahiri duniani miaka...

HARRIET KWAMBOKA: Ipo siku nitatesa katika tasnia ya uigizaji

Na JOHN KIMWERE UKWELI wa mambo ni kwamba wahenga waliposema penye nia pana njia hawakupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa, maana ndivyo...

UIGIZAJI: Harriet Kwamboka Charles aamini anacho kipaji cha kumfikisha kwa ustaa nchini

Na JOHN KIMWERE UKWELI wa mambo ni kwamba wahenga waliposema penye nia pana njia hawakupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa, maana ndivyo...

Waigizaji wa Ukombozi Film wanavyonoa vipaji vya watoto Mombasa

NA ABDULRAHMAN SHERIFF NI kipindi cha mwaka mmoja na miezi minane pekee tangu kianzishwe, kikundi cha wasanii cha Ukombozi Film, Mombasa...

MARWA: Chipukizi anayelenga kufikia hadhi ya Lupita Nyong’o

NA JOHN KIMWERE  PENYE nia pana njia. Dorcas Kambua Kelly maarufu kama Marwa ni miongoni mwa waigizaji wa kike wanaokuja wanaolenga...

Mwigizaji chipukizi shindano la urembo wikendi mtaani Kayole 

Na JOHN  KIMWERE    WAHENGA hawakupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa, waliposema kuwa penye nia pana njia, maana ndivyo...

Mtambue ‘Madam Vicky’ wa kipindi cha ‘Maria’

Na JOHN KIMWERE NI mwanamitindo wa muda mrefu na miongoni mwa waigizaji wanaovumisha kipindi cha Maria ambacho hupeperushwa kupitia...

NAOMI MABEYA: Mama Kayai amekuwa chocheo kwa uigizaji wangu

Na JOHN KIMWERE ANAAMINI anatosha mboga kufanya vizuri katika tasnia ya maigizo na kitinga upeo wa kimataifa miaka ijayo. Anadai kuwa...

ALAINE NJOROGE: Ndoto yangu ni kuwa rubani

Na JOHN KIMWERE WAHENGA waliposema kuwa dalili ya mvua ni mawingu kweli hawakupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa. Katika masuala ya...