• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 11:42 PM

MITCHELL WAMBUI: Waliobobea kwa filamu wainue waigizaji chipukizi

Na JOHN KIMWERE UKWELI wa mambo ni kwamba wahenga waliposema penye nia pana njia hawakupaka mafuta kwenye mgongo wa chupa, maana ndivyo...

TERESIA NJOKI: Ubunifu ni muhimu katika uigizaji

Na JOHN KIMWERE  ANAHIMIZA wenzie wawe wabunifu katika sekta ya usanii pia wajitume kwenye gemu ili kukomesha kasumba ya kuketi kijiwe...

ZULEKHA AKINYI: Mpango mzima ni kufikia upeo wa Queen Latifah katika uigizaji

NA JOHN KIMWERE, NAIROBI 'MTAKA cha mvunguni sharti ainame.' Ndivyo wahenga walivyosema na tangia zama hizo ndivyo ilivyo hadi sasa. Ni...

Mzee Makanyaga azikwa katika makaburi ya Kariorkor

NA PETER CHANGTOEK Aliyekuwa mwigizaji maarufu, Mohammed Tajiri, almaarufu Mzee Makanyaga, amezikwa katika makaburi ya Kariorkor, mnamo...

ABIGAIL KAVISA: Ndoto yangu katika ucheshi ni kufikia upeo wa Trevor Noah

Na WANDERI KAMAU NI binti mchanga na mchangamfu, ambapo ndipo anaanza kuzamia katika tasnia ya ucheshi, ambayo imedhibitiwa kwa muda mrefu...

Hisia mseto Twitter kuhusu filamu ya ‘Sincerely Daisy’

NA WANGU KANURI Filamu ya Sincerely Daisy iliyoongozwa na mwigizaji maarufu Nick Mutuma ilionyeshwa kwa mtandao wa filamu wa Netflix...

IRENE NZUKI: Ndoto yangu ya kuwa mwigizaji itatimia

Na JOHN KIMWERE NI ndoto ya kila msanii kuona anaimarika katika kazi zake na kutambulika kote duniani. Irene Mumbua Nzuki aachwi nyuma...

CONSOLATA KAMAU: Produsa, mwelekezi wa filamu, mwandishi na msanii

Na JOHN KIMWERE NI miongoni mwa wasanii wachache wa kike ambao wameamua kujituma kwa udi na uvumba kuvumisha tasnia ya filamu nchini. Ni...

KANDY: Nalenga kumfikia Julia Roberts wa Marekani katika uigizaji

Na JOHN KIMWERE NI ndoto ya kila msanii kuona anaimarika katika kazi zake na kutambulika kote duniani. Nicholine Adhiambo Odhiambo...

JOY WANGUI: Mwigizaji na DJ mtajika

Na JOHN KIMWERE ANATAMANI kuibuka kati ya waigizaji bora wa kike humu nchini na kimataifa miaka ijayo. Anaorodheshwa kati ya wasanii...

Safiri salama ‘Papa’, tutaonana baadaye

NA THOMAS MATIKO JUMAMOSI iliyopita majira ya alasiri tasnia ya burudani ilipatwa na simanzi kufuatia kifo chake mchekeshaji Charles...

Familia yasisitiza kifo cha ‘Shirandula’ kingeepukika

Na SHABAN MAKOKHA FAMILIA ya aliyekuwa muigizaji wa vipindi vya runinga, marehemu Charles Bukeko imelaumu Hospitali ya Karen, Nairobi...