Tag: utabiri wa hali ya hewa
- by adminleo
- April 25th, 2019
MUTANU: Juhudi zifanywe kukabili mabadiliko ya hali ya anga
Na BERNARDINE MUTANU MVUA imeanza kunyesha na wakulima huenda wamepata afueni. Wafugaji wa mifugo nao wamefurahi kwani angalau mifugo...
- by adminleo
- April 23rd, 2019
Mvua itanyesha kote nchini, Idara sasa yasema
Na BERNARDINE MUTANU Wananchi kote nchini wanatarajia kupata mvua juma hili, kila siku kwa siku tano zijazo, kulingana na taarifa ya...
- by adminleo
- April 16th, 2019
Msitarajie mvua Aprili na Mei – Idara
Na CHARLES WASONGA NI rasmi kwamba mvua haitashuhudiwa nchini katika msimu huu kama ilivyokuwa kawaida miaka ya nyuma, kulingana na...
- by adminleo
- April 15th, 2019
Idara lawamani baada ya mbegu kukosa kuota
NA RICHARD MAOSI WAKULIMA kutoka Bonde la Ufa wanalaumu Idara ya Utabiri wa Hali ya Hewa kwa kuwapotosha, ilipotangaza kuwa mvua kubwa...
- by adminleo
- April 3rd, 2019
MUTANU: Tukabiliane na mabadiliko ya anga kuzuia magonjwa
Na BERNARDINE MUTANU Wananchi sehemu mbalimbali wanazidi kungoja mvua huku matumaini yakizidi kuyeyuka kwa mamilioni wanaokabiliwa na...
- by adminleo
- April 3rd, 2018
Mafuriko yatarajiwa tena Aprili
Na VALENTINE OBARA MAFURIKO mijini na maporomoko ya ardhi katika nyanda za juu za nchi zinatarajiwa wakati msimu wa mvua ya masika...