• Nairobi
  • Last Updated March 19th, 2024 5:55 AM

VITUKO: Chicharito hatarini kutemwa kufuatia ukware wake na wa pembeni

IMEKUSANYWA NA CHRIS ADUNGO NYOTA wa zamani wa Manchester United na West Ham United, Javier ‘Chicharito’ Hernandez, 33, yuko katika...

VITUKO: Pengo atua kijijini na kutumwa na kanisa jijini kuomba Famba msaada

Na SAMUEL SHIUNDU DUNIA rangi rangile. Kama pangetokea mtu miaka michache iliyopita amwambie Pengo kuwa siku kama hii ingemkuta...

VITUKO: ‘Marafiki pesa’ wamwandama Pengo baada ya kushinda malaki ya kamari

Na SAMUEL SHIUNDU TANGU apoteze pesa katika mchezo wa kamari miaka kadhaa iliyopita, hakuna yeyote kati ya jamaa na rafiki zake...

VITUKO: Bawabu amgeuzia mwalimu mkuu kibao cha wizi wa nafaka

Na SAMUEL SHIUNDU SIMBAMWENE aliifahamu kazi yake vyema. Hakuwa mgeni katika shughuli ya kuendesha mitihani ya kitaifa. Licha ya...

VITUKO: Suala la chanjo kwa walimu lawa kiazi moto katika nchi ya Kavaluku

Na SAMUEL SHIUNDU ULIKUWA umetimu mwaka sasa tangu kisa cha kwanza cha mwathiriwa wa virusi vya Corona kiripotiwe nchini...

VITUKO: Munira na walimu wachache wapanga kuwapunja wenzao pesa za kampeni

Na SAMUEL SHIUNDU MUNIRA alijitia hamnazo tangu kupokezwa pesa na wawaniaji mbalimbali wa chama cha kutetea walimu. Kimya hiki...

VITUKO: Pengo alaghaiwa na mwanafunzi mjanja kuvunja amri ya mkuu kutowapa watoto simu

Na SAMUEL SHIUNDU JUA la Januari liliwahujumu wanajamii bila ubaguzi. Shuleni, hali hii hudhihirishwa na kiherehere cha wanafunzi...

VITUKO: Pengo atua Migingo, kumbe tabasamu ya kike hunogesha biashara ya samaki!

Na SAMUEL SHIUNDU KAMA ardhi ya kisiwa cha Migingo ingekuwa na hisia, basi ingelalamikia kupondwa na nyayo nyingi kiasi hicho. Tangu...

VITUKO: Vya bwerere hakuna! Sindwele ahimiza Pengo kudai malipo ya ushauri nasaha

Na SAMUEL SHIUNDU “UNAHITAJI malipo mazuri kwa kazi njema uliyofanya ndugu yangu.” Sindwele alimchokoza Pengo walipokutana katika...

VITUKO: Soo aridhia wadhifa mpya wa kusimamia mtihani wa KCSE

Na SAMUEL SHIUNDU WAJUAO husema kuwa cha mwenzako kikinyolewa, chako unatia maji. Mkuu mpya wa Elimu katika wilaya ya Sidindi aliujua...

VITUKO: Pengo na Soo wajipata kwenye mtego wa panya kwake Nafoyo

Na SAMUEL SHIUNDU SINDWELE alizipenda likizo za Desemba kwani zilitanguliwa na mitihani ya kitaifa kisha zikatamatishwa na sherehe za...

Pasta mpenda pesa abaki bila waumini

Na SAMUEL BAYA LANGAS, NAKURU PASTA wa kanisa moja la mtaani alibaki pweke kanisani baada ya waumini kumtoroka wakidai ni...