Tag: voliboli
- by adminleo
- May 27th, 2020
MABADILIKO: Timu ya KCB iliyotikisa bara Afrika kabla ya kufifia
Na GEOFFREY ANENE NI miaka 14 tangu KCB iduwaze Bara Afrika kwa kuibuka malkia wa mashindano ya klabu baada ya kunyamazisha miamba Al...
- by adminleo
- February 24th, 2020
Walemavu Nakuru wanavyofurahia kucheza voliboli
NA RICHARD MAOSI Nakuru County Sitting Volleyball ni kikosi cha wachezaji wasiopungua 30 wanaocheza voliboli chini ya usimamizi wa...
- by adminleo
- February 5th, 2020
Maafisa wa voliboli Misri wachunguzwa
Na JOHN KIMWERE SHIRIKISHO la Voliboli Duniani (FIVB) limeanzisha uchuguzi kuhusu udanganyifu uliohusisha mashirikisho mawili...
- by adminleo
- February 4th, 2020
Mabinti wa KCB walenga taji la Afrika voliboli
Na JOHN KIMWERE TIMU ya voliboli ya wanawake ya KCB haina la ziada mbali inapania kushinda taji la Klabu Bingwa Afrika (CAVB) mwaka huu....
- by adminleo
- December 4th, 2019
KCB inavyojiandaa kwa kipute cha voliboli
Na JOHN KIMWERE TIMU ya wanawake ya KCB inajiandaa kutifua vumbi kali kwenye kampeni za Voliboli ya Klabu Bingwa Afrika (CAVB) mwaka...
- by adminleo
- September 27th, 2019
Kenya yaendelea kuumia mashindano ya voliboli
Na GEOFFREY ANENE KENYA itajilaumu yenyewe kwa kutoshinda hata seti moja kufikia sasa katika Kombe la Dunia la voliboli ya wanawake...
- by adminleo
- September 17th, 2019
GSU, Pipeline mabingwa wa voliboli
Na JOHN KIMWERE TIMU ya Kenya General Service Unit (GSU) na Kenya Pipeline ziliteremsha voliboli safi dhidi ya wapinzani wao na...
- by adminleo
- September 15th, 2019
Prisons yapaa, Pipeline yajikwaa Nanyuki
Na JOHN KIMWERE WANAUME wa Kenya Prisons walisajili pointi tisa muhimu kwenye mechi za voliboli ya Ligi Kuu ya KVF zilizochezewa mjini...
- by adminleo
- August 6th, 2019
Malkia Strikers yafunzwa voliboli Italia
Na GEOFFREY ANENE KENYA imejifunza mengi kutokana na vichapo vitatu vikali ilivyopokea dhidi ya Italia, Uholanzi na Ubelgiji kwenye...
- by adminleo
- July 22nd, 2019
GSU, KCB mabingwa wa voliboli Arthur Odera
Na JOHN KIMWERE TIMU za Kenya General Service Unit (GSU) na KCB zilifanikiwa kutwaa taji la Arthur Odera Open Volleyball kitengo cha...
- by adminleo
- July 16th, 2019
Voliboli: Kenya yafaa kujiandaa upya kabla ya African Games
Na GEOFFREY ANENE KENYA italazimika kujipanga tena kabla ya michezo ya African Games mwezi Agosti nchini Morocco, baada ya timu yake ya...
- by adminleo
- July 15th, 2019
Malkia Strikers walemewa na Cameroon
Na GEOFFREY ANENE MALKIA Strikers ya Kenya imeridhika na medali ya fedha kwa mara ya pili mfululizo kwenye Kombe la Voliboli ya Afrika...