• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 6:50 AM

MABADILIKO: Timu ya KCB iliyotikisa bara Afrika kabla ya kufifia

Na GEOFFREY ANENE NI miaka 14 tangu KCB iduwaze Bara Afrika kwa kuibuka malkia wa mashindano ya klabu baada ya kunyamazisha miamba Al...

Walemavu Nakuru wanavyofurahia kucheza voliboli

NA RICHARD MAOSI Nakuru County Sitting Volleyball ni kikosi cha wachezaji wasiopungua 30 wanaocheza voliboli chini ya usimamizi wa...

Maafisa wa voliboli Misri wachunguzwa

Na JOHN KIMWERE SHIRIKISHO la Voliboli Duniani (FIVB) limeanzisha uchuguzi kuhusu udanganyifu uliohusisha mashirikisho mawili...

Mabinti wa KCB walenga taji la Afrika voliboli

Na JOHN KIMWERE TIMU ya voliboli ya wanawake ya KCB haina la ziada mbali inapania kushinda taji la Klabu Bingwa Afrika (CAVB) mwaka huu....

KCB inavyojiandaa kwa kipute cha voliboli

Na JOHN KIMWERE TIMU ya wanawake ya KCB inajiandaa kutifua vumbi kali kwenye kampeni za Voliboli ya Klabu Bingwa Afrika (CAVB) mwaka...

Kenya yaendelea kuumia mashindano ya voliboli

Na GEOFFREY ANENE KENYA itajilaumu yenyewe kwa kutoshinda hata seti moja kufikia sasa katika Kombe la Dunia la voliboli ya wanawake...

GSU, Pipeline mabingwa wa voliboli

Na JOHN KIMWERE TIMU ya Kenya General Service Unit (GSU) na Kenya Pipeline ziliteremsha voliboli safi dhidi ya wapinzani wao na...

Prisons yapaa, Pipeline yajikwaa Nanyuki

Na JOHN KIMWERE WANAUME wa Kenya Prisons walisajili pointi tisa muhimu kwenye mechi za voliboli ya Ligi Kuu ya KVF zilizochezewa mjini...

Malkia Strikers yafunzwa voliboli Italia

Na GEOFFREY ANENE KENYA imejifunza mengi kutokana na vichapo vitatu vikali ilivyopokea dhidi ya Italia, Uholanzi na Ubelgiji kwenye...

GSU, KCB mabingwa wa voliboli Arthur Odera

Na JOHN KIMWERE TIMU za Kenya General Service Unit (GSU) na KCB zilifanikiwa kutwaa taji la Arthur Odera Open Volleyball kitengo cha...

Voliboli: Kenya yafaa kujiandaa upya kabla ya African Games

Na GEOFFREY ANENE KENYA italazimika kujipanga tena kabla ya michezo ya African Games mwezi Agosti nchini Morocco, baada ya timu yake ya...

Malkia Strikers walemewa na Cameroon

Na GEOFFREY ANENE MALKIA Strikers ya Kenya imeridhika na medali ya fedha kwa mara ya pili mfululizo kwenye Kombe la Voliboli ya Afrika...