• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 5:55 AM

Ahmed Ali Muktar ndiye Gavana mpya wa Wajir

Na MANASE OTSIALO AHMED Ali Muktar ameapishwa rasmi Jumanne awe Gavana wa Kaunti ya Wajir baada ya Mohamed Abdi Mohamud kutimuliwa rasmi...

Gavana aliyeachia mke mamlaka ang’olewa uongozini licha ya amri ya korti

Na CHARLES WANYORO GAVANA wa Wajir, Mohammed Abdi, amebanduliwa katika nafasi hiyo na bunge la kaunti hiyo.Madiwani 37 walipiga kura ya...

Gavana hatarini kwa kumpa mkewe mamlaka ya kusimamia kaunti

Na Manase Otsialo GAVANA wa Wajir Mohamed Abdi amejipata mashakani kwa mara ya pili katika muda wa miezi minane, baada ya madiwani wa...

Bunge la Wajir laidhinisha mswada licha ya vurugu

Na BRUHAN MAKONG Bunge la Kaunti ya Wajir limeidhinisha mswada wa majina ya wanachama 11 walioteuliwa kuwakilisha Kamati ya Bajeti siku...

WAJIR: Kutoaminiana baina ya vikosi vya usalama na wakazi wa Khorof Harar kunahujumu usalama

Na FARHIYA HUSSEIN SUALA la kutoaminiana baina ya vikosi vya usalama na wakazi wa Khorof Harar katika Kaunti ya Wajir limeonekana kama...

Usambazaji wa vyakula vya msaada kwa walio karantini waanza Wajir

Na FARHIYA HUSSEIN KAUNTI ya Wajir imeanzisha shughuli ya ugavi wa vyakula kwa wakazi walioathirika na Ukimwi, walemavu na wale...

Utata mahakamani gavana wa Wajir akihifadhi kiti

Na RICHARD MUNGUTI GAVANA wa Wajir Bw Mohammed Abdi Ijumaa aliponea chupuchupu kupoteza kiti chake huku uhitimu wake kimasomo...