Tag: WALIBORA
- by adminleo
- June 4th, 2020
Ken Walibora alivyowaathiri wanafunzi wa kigeni
Na YUNING SHEN NINAANDIKA barua hii kwa sababu tu ya kutoa shukrani kwa mwandishi marehemu kwa athari ya vitabu vyake na utu wake...
- by adminleo
- April 29th, 2020
KAULI YA MATUNDURA: Walibora alivyopagazwa wizi wa miswada
Na BITUGI MATUNDURA MAKALA ya mwandishi Ken Walibora ‘Ukarimu wa Wallah katika tasnia pana ya Kiswahili’ (Taifa Leo, Machi 9, 2017)...
- by adminleo
- April 27th, 2020
Hospitali yajiondolea lawama kifo cha Walibora
Na CHARLES WASONGA AFISA Mkuu Mtendaji wa Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta (KNH) Dkt Evanson Kamuri amekana madai kuwa wahudumu wa...
- by adminleo
- February 20th, 2019
KAULI YA WALIBORA: Msimamo wa Prof Ngugi kuhusu tija ya lugha asilia umebaki vilevile kwa muda tawili na umemrinia mengi
Na KEN WALIBORA KINA CHA FIKIRA HIVI karibuni katika mitandao kumezuka mdahalo mkali sana kuhusu utetezi wa Prof Ngugi wa Thiong’o...
- by adminleo
- August 8th, 2018
KAULI YA WALIBORA: ‘Shosho’ Cecilia ni mfano hai kuwa ujuzi wa mtu hautegemei umilisi wa Kiingereza
Na PROF KEN WALIBORA Hivi majuzi mtangazaji mpya wa kipindi cha Trend cha NTV Amina Abdi alijaribu kumhoji Bikizee wa miaka 80 aiitwaye...
- by adminleo
- August 1st, 2018
KAULI YA WALIBORA: Jumuiya ya Waswahili inaomboleza majohari adhimu wa Kiswahili
Na PROF KEN WALIBORA JUMAPILI imeanza kwangu kwa kupokea tanzia ya Prof Mwenda Mukuthuria (pichani), mwanataaluma wa Kiswahili...
- by adminleo
- July 11th, 2018
KAULI YA WALIBORA: Kiswahili kingali halua katika uchanganuzi wa matangazo ya mpira
Na PROF KEN WALIBORA Uchanganuzi wa soka kwa Kiswahili siku hizi ni jambo la kawaida katika runinga za Kenya. Zamani haikuwa hivyo....
- by adminleo
- July 11th, 2018
NASIKIA SAUTI YA MAMA: Tawasifu yenye mshabaha na maisha ya Ken Walibora
NA ENOCK NYARIKI Jina la utungo: Nasikia Sauti ya Mama Mwandishi: Ken Walibora Kitabu: Riwaya Mhakiki: Nyariki...
- by adminleo
- March 29th, 2018
KAULI YA WALIBORA: Kiswahili kitakwezwa tu kupitia ari na juhudi za wasemaji wake
Na PROF KEN WALIBORA Mhakiki wa Kinaijeria Obi Wali aliwahi kuuliza: “Kiingereza kingekuwa wapi kama waandishi wa Kiingereza wangeamua...
- by adminleo
- March 16th, 2018
KAULI YA WALIBORA: Dhana kwamba ufahamu wa lugha aghalabu ni kigezo cha maarifa katika fani yoyote ile inapotosha
Na PROF KEN WALIBORA Nilitumia treni ya SGR kwa mara ya kwanza wiki iliyopita. Safari yangu ya kwenda Mombasa kutoka Nairobi na kurejea...
- by adminleo
- March 8th, 2018
KAULI YA WALIBORA: Tasnia ya uandishi itazidi kupiga hatua tu iwapo waandishi chipukizi na wale wabobezi wataandika sambamba, kwa sawia
Na PROF KEN WALIBORA Mwanafunzi aitwaye Boniface wa Shule ya Upili ya St Peter’s Mumias alinidokezea hivi karibuni kuhusu mawanio yake...