Tag: walimu
- by adminleo
- May 10th, 2020
KNUT yataka walio karantini shuleni waondolewe
Na FAITH NYAMAI KATIBU Mkuu wa Chama cha Kitaifa cha Walimu Kenya (KNUT), Bw Wilson Sossion, anataka watu waliowekwa karantini katika...
- by adminleo
- April 19th, 2020
Walimu wa shule za kibinafsi walia kunyimwa malipo ya Machi
By GEOFFREY ANENE Chama cha Walimu kutoka Shule za Kibinafsi za kaunti ya Nairobi kimethibitisha kupokea malalamishi mengi kutoka kwa...
- by adminleo
- April 5th, 2020
WASONGA: Tamaa hii ya walimu kuandaa masomo ya ziada ikome
Na CHARLES WASONGA Baada ya kisa cha kwanza cha maambukizi ya virusi vya corona kugunduliwa nchini, serikali iliagiza shule na taasisi...
- by adminleo
- April 2nd, 2020
Yafichuka walimu wanafundisha watoto kisiri
Na CHARLES WASONGA IMEBAINIKA kuwa baadhi ya walimu wanaendesha masomo ya ziada katika nyumbani zao, kwa malipo, na hivyo kuongeza...
- by adminleo
- February 17th, 2020
Kuppet yalaumu wanasiasa kuhusu walimu kuvamiwa
Na OUMA WANZALA CHAMA cha Walimu wa Shule za Upili na Vyuo Anuwai (KUPPET) kimetoa wito kwa wanasiasa kutoka Kaskazini Mashariki wakome...
- by adminleo
- February 10th, 2020
Walimu wapinga ajira ya kandarasi
Na RICHARD MUNGUTI WALIMU waliohitimu na ambao hawajaajiriwa na tume ya walimu nchini TSC wamepinga hatua ya kuajiriwa kama...
- by adminleo
- January 21st, 2020
Uhamisho wa walimu walemaza masomo
Na BRUHAN MAKONG SHULE katika eneo la Kaskazini mwa Kenya zinakabiliwa na wakati mgumu kuendesha masomo, baada ya Wizara ya Elimu...
- by adminleo
- January 21st, 2020
Knut yatetea walimu kukiwa na madai wanaamuru watoto wasio na uwezo kifedha kurejea nyumbani
Na SAMMY WAWERU CHAMA cha kueteta masilahi ya walimu nchini (Knut) umesimama kidete na walimu wake dhidi ya madai kuwa wanawarejesha...
- by adminleo
- December 5th, 2019
Walimu wahimizwa kuunga mkono mfumo wa CBC
Na MAGDALENE WANJA WALIMU wamehimizwa kuunga mkono mfumo wa elimu wa uamilifu (CBC) kwani mfumo huo ulianzishwa kwa wakati unaofaa na...
- by adminleo
- December 4th, 2019
Mvutano baina ya TSC na Knut washuhudiwa katika kongamano Mombasa
Na MISHI GONGO VITA baina ya chama cha walimu (Knut) na Tume ya Kuajiri Walimu nchini (TSC) vimejitokeza katika kongamano la 15 la...
- by adminleo
- November 9th, 2019
Korti yatoa agizo TSC iendelee kushirikiana na Knut
Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA ya Leba, iliamuru Ijumaa kwamba Tume ya Kuajiri Walimu (TSC) inafaa iendelee kushirikiana na Chama cha...
- by adminleo
- November 6th, 2019
SEKTA YA ELIMU: Undumakuwili huu wa TSC utakuja kuiponza yenyewe
Na CHARLES WASONGA MPANGO wa Tume ya Huduma ya Walimu (TSC) kufutilia mbali uhusiano wake na Chama cha Kitaifa cha Walimu (Knut) ambao...