• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 5:46 PM

KNUT yataka walio karantini shuleni waondolewe

Na FAITH NYAMAI KATIBU Mkuu wa Chama cha Kitaifa cha Walimu Kenya (KNUT), Bw Wilson Sossion, anataka watu waliowekwa karantini katika...

Walimu wa shule za kibinafsi walia kunyimwa malipo ya Machi

By GEOFFREY ANENE Chama cha Walimu kutoka Shule za Kibinafsi za kaunti ya Nairobi kimethibitisha kupokea malalamishi mengi kutoka kwa...

WASONGA: Tamaa hii ya walimu kuandaa masomo ya ziada ikome

Na CHARLES WASONGA Baada ya kisa cha kwanza cha maambukizi ya virusi vya corona kugunduliwa nchini, serikali iliagiza shule na taasisi...

Yafichuka walimu wanafundisha watoto kisiri

Na CHARLES WASONGA IMEBAINIKA kuwa baadhi ya walimu wanaendesha masomo ya ziada katika nyumbani zao, kwa malipo, na hivyo kuongeza...

Kuppet yalaumu wanasiasa kuhusu walimu kuvamiwa

Na OUMA WANZALA CHAMA cha Walimu wa Shule za Upili na Vyuo Anuwai (KUPPET) kimetoa wito kwa wanasiasa kutoka Kaskazini Mashariki wakome...

Walimu wapinga ajira ya kandarasi

Na RICHARD MUNGUTI WALIMU waliohitimu na ambao hawajaajiriwa na tume ya walimu nchini TSC wamepinga hatua ya kuajiriwa kama...

Uhamisho wa walimu walemaza masomo

Na BRUHAN MAKONG SHULE katika eneo la Kaskazini mwa Kenya zinakabiliwa na wakati mgumu kuendesha masomo, baada ya Wizara ya Elimu...

Knut yatetea walimu kukiwa na madai wanaamuru watoto wasio na uwezo kifedha kurejea nyumbani

Na SAMMY WAWERU CHAMA cha kueteta masilahi ya walimu nchini (Knut) umesimama kidete na walimu wake dhidi ya madai kuwa wanawarejesha...

Walimu wahimizwa kuunga mkono mfumo wa CBC

Na MAGDALENE WANJA WALIMU wamehimizwa kuunga mkono mfumo wa elimu wa uamilifu (CBC) kwani mfumo huo ulianzishwa kwa wakati unaofaa na...

Mvutano baina ya TSC na Knut washuhudiwa katika kongamano Mombasa

Na MISHI GONGO VITA baina ya chama cha walimu (Knut) na Tume ya Kuajiri Walimu nchini (TSC) vimejitokeza katika kongamano la 15 la...

Korti yatoa agizo TSC iendelee kushirikiana na Knut

Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA ya Leba, iliamuru Ijumaa kwamba Tume ya Kuajiri Walimu (TSC) inafaa iendelee kushirikiana na Chama cha...

SEKTA YA ELIMU: Undumakuwili huu wa TSC utakuja kuiponza yenyewe

Na CHARLES WASONGA MPANGO wa Tume ya Huduma ya Walimu (TSC) kufutilia mbali uhusiano wake na Chama cha Kitaifa cha Walimu (Knut) ambao...