BI TAIFA AGOSTI 14, 2019
Carol Njeha, 30, anatupambia tovuti yetu. Yeye ni mfanyabiashara na mwanamitindo jijini Nairobi. Uraibu wake ni kusakata densi, kupika na kusafiri. Picha/Richard Maosi
Next article
Wakili afichua sababu ya kufungua wosia wa Cohen