Monday, August 24th, 2020
BI TAIFA AGOSTI 19, 2020
Esther Wanjiri ni mwanafunzi wa uanahabari katika Chuo kimoja mjini Nakuru. Kwa sasa amefikisha miaka 23. Uraibu wake ni kusikiliza muziki wa kuzazi kipya na kusakata densi.
Picha/Richard Maosi