• Nairobi
  • Last Updated May 8th, 2024 8:55 PM
Ashtakiwa kumlaghai mwenzake hela za kununua mitumba

Ashtakiwa kumlaghai mwenzake hela za kununua mitumba

Na Richard Munguti

Tarishi wa kubeba vifurushi vya nguo kuu kuu almaarufu mitumba katika la Gikomba alishtakiwa kumlaghai John Muhora Maina Sh353,000 akidai atamnunulia robota tatu za mitumba.

“Mheshimiwa sikuiba pesa hizo.Mfuko wa suruali yangu ulipasuliwa kwa wembe nikiwa nimebeba kifurushu cha mitumba.Sikuiba kamwe,” Junior alimweleza hakimu mkuu Abdulkadir Lorot.

Mshtakiwa aliomba aachiliwe kwa dhamana Ijumaa aliposhtakiwa katika mahakama ya Kibera.

Hakimu allimwachilia kwa dhamana ya Sh300,000.

Kesi itatajwa Septemba 4.

  • Tags

You can share this post!

Majangili wapigwa dhamana ya Sh400,000

Taabani kwa kuiba nyama ya Sh200,000