TAIFA LEO Logo
  • Habari
    • Habari za Kitaifa
    • Habari za Kaunti
    • Kimataifa
  • Siasa
  • Maoni
  • Makala
    • Afya na Jamii
    • Lugha, Fasihi na Elimu
    • Akili Mali
    • Jamvi La Siasa
    • Shangazi Akujibu
    • Bambika
    • Pambo
    • Dimba
  • Dondoo
  • Bi Taifa
  • Mashairi
  • Michezo
  • NIE Shuleni
Habari Mseto

Chungeni msilipukiwe na gesi, Kuria aonya polisi Kiandutu

February 3rd, 2024 Kusoma ni dakika: 1
  • Shiriki mitandao ya kijamii:
  • Facebook
  • X
  • LinkedIn
  • Email
  • WhatsApp

NA MWANGI MUIRURI

WAZIRI wa Utendakazi wa Umma Moses Kuria amedai kwamba kuna kiwanda haramu cha gesi katika Kaunti ya Kiambu kinachohudumu karibu na kituo cha polisi.

Amedai kwamba kiwanda hicho alichosema kiko katika mtaa wa Kiandutu, kiko katika hatari ya kulipuka kwa wakati wowote na walio katika hatari kuu, ni maafisa wa polisi walio na afisi zao hapo karibu.

Aliongeza kwamba kituo hicho cha gesi hakina usajili wowote wa kisheria na kwamba ni haramu, ni hatari na hivyo kinafaa kuhalalishwa au kufungwa.

Soma Pia: Embakasi: Nema yatimua maafisa wanne kwa kutoa leseni tata

Wenyeji katika mtaa huo wa viunga vya mji wa Thika waliambia Taifa Leo kwamba kiwanda hicho huambatana na ukora mwingi sana hata wa kushambuliana kwa bunduki.

“Ni kiwanda cha kipekee. Mara kwa mara huwa kunazuka vita vya ufyatuliamaji risasi katika barabara ya kuingia na kutoka kiwandani humo,” akasema jirani wa kiwanda hicho.

Kiwanda cha gesi cha Kiandutu ambacho Waziri wa Utumishi wa Umma Moses Kuria amekimulika. PICHA | MWANGI MUIRURI

Hayo yanajiri huku Rais William Ruto akitoa msimamo mkali dhidi ya mamlaka za kutoa leseni kwamba wote watakaonaswa katika mtandao wa ufisadi, utepetevu na uzembe unaohatarisha maisha ya watu, watakamatwa, wafutwe kazi na kutupwa jela.

Hii ni baada ya kiwanda katika mtaa wa Embakasi kulipuka na kusababisha vifo vya watu watatu huku zaidi ya 300 wakipata majeraha.

mwangilink@gmail.com

Mfanyakazi wa Khalwale kuzikwa Jumatatu
  • Facebook
  • Twitter
  • LinkedIn
  • Email
  • WhatsApp
Maiti ya kitoto malaika yatupwa karibu na ofisi ya umma

Habari Mseto Zaidi

Vijana wafurahia vitambulisho baada ya ada kuondolewa

February 26th, 2026

Baada ya kuhangaishwa na kiangazi, wakazi sasa wahofia...

February 25th, 2026

Makundi 3 yapata pigo kwenye kesi ya kutetea mashoga

February 23rd, 2026

Watatu wafariki kwenye ajali ya barabara

February 22nd, 2026

Habari Za Sasa

Serikali yatoa tahadhari kwa raia wake wanaoishi Mashariki...

March 2nd, 2026

Jinsi Farouk na Itumbi walivyong’arisha Ruto chaguzi ndogo

March 2nd, 2026

Uchunguzi waanza kuhusu ndege iliyomuua mbunge

March 2nd, 2026

Joho asema Shahbal ametosha mboga 2027

March 2nd, 2026

KenyaBuzz

Send Help

Two colleagues become stranded on a deserted island, the...

BUY TICKET

Shelter

Mason lives in recluse at a remote setting by the sea. When...

BUY TICKET

Mercy

In the near future, a detective stands on trial accused of...

BUY TICKET

International Women's Day Gala Dinner

Join us for a day dedicated to empowerment, inspiration,...

BUY TICKET

Here We Go Again: Mama Mia 2 - The Musical

BUY TICKET

Love Misyini - Valentine's Outdoor Cinema & Candlelit Dinner

Experience the magic of Love Misyini, the flagship romantic...

BUY TICKET
TAIFA LEO Logo

Mitandao ya kijamii

Maarufu sana

Kiongozi mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei auawa kwenye shambulio la Israel-Amerika

March 1st, 2026

Watu sita wafariki katika ajali ya helikopta Nandi

February 28th, 2026

Onyo kali kwa waume wanaoamka na ‘jogoo’ legevu asubuhi

February 24th, 2026

Usikose

Serikali yatoa tahadhari kwa raia wake wanaoishi Mashariki ya Kati

March 2nd, 2026

Jinsi Farouk na Itumbi walivyong’arisha Ruto chaguzi ndogo

March 2nd, 2026

Uchunguzi waanza kuhusu ndege iliyomuua mbunge

March 2nd, 2026
Copyright © 2026 Nation Media Group. All rights reserved.