TAIFA LEO Logo
  • Habari
    • Habari za Kitaifa
    • Habari za Kaunti
    • Kimataifa
  • Siasa
  • Maoni
  • Makala
    • Afya na Jamii
    • Lugha, Fasihi na Elimu
    • Akili Mali
    • Jamvi La Siasa
    • Shangazi Akujibu
    • Bambika
    • Pambo
    • Dimba
  • Dondoo
  • Bi Taifa
  • Mashairi
  • Michezo
  • NIE Shuleni
  • ePaper
Habari Mseto

Chungeni msilipukiwe na gesi, Kuria aonya polisi Kiandutu

February 3rd, 2024 Kusoma ni dakika: 1
  • Shiriki mitandao ya kijamii:
  • Facebook
  • X
  • LinkedIn
  • Email
  • WhatsApp

NA MWANGI MUIRURI

WAZIRI wa Utendakazi wa Umma Moses Kuria amedai kwamba kuna kiwanda haramu cha gesi katika Kaunti ya Kiambu kinachohudumu karibu na kituo cha polisi.

Amedai kwamba kiwanda hicho alichosema kiko katika mtaa wa Kiandutu, kiko katika hatari ya kulipuka kwa wakati wowote na walio katika hatari kuu, ni maafisa wa polisi walio na afisi zao hapo karibu.

Aliongeza kwamba kituo hicho cha gesi hakina usajili wowote wa kisheria na kwamba ni haramu, ni hatari na hivyo kinafaa kuhalalishwa au kufungwa.

Soma Pia: Embakasi: Nema yatimua maafisa wanne kwa kutoa leseni tata

Wenyeji katika mtaa huo wa viunga vya mji wa Thika waliambia Taifa Leo kwamba kiwanda hicho huambatana na ukora mwingi sana hata wa kushambuliana kwa bunduki.

“Ni kiwanda cha kipekee. Mara kwa mara huwa kunazuka vita vya ufyatuliamaji risasi katika barabara ya kuingia na kutoka kiwandani humo,” akasema jirani wa kiwanda hicho.

Kiwanda cha gesi cha Kiandutu ambacho Waziri wa Utumishi wa Umma Moses Kuria amekimulika. PICHA | MWANGI MUIRURI

Hayo yanajiri huku Rais William Ruto akitoa msimamo mkali dhidi ya mamlaka za kutoa leseni kwamba wote watakaonaswa katika mtandao wa ufisadi, utepetevu na uzembe unaohatarisha maisha ya watu, watakamatwa, wafutwe kazi na kutupwa jela.

Hii ni baada ya kiwanda katika mtaa wa Embakasi kulipuka na kusababisha vifo vya watu watatu huku zaidi ya 300 wakipata majeraha.

mwangilink@gmail.com

Mfanyakazi wa Khalwale kuzikwa Jumatatu
  • Facebook
  • Twitter
  • LinkedIn
  • Email
  • WhatsApp
Maiti ya kitoto malaika yatupwa karibu na ofisi ya umma

Habari Mseto Zaidi

Maraga: Kuondoa Ruto hakutoshi, lazima tung’oe mizizi...

June 17th, 2026

Supkem yaalani kuvamiwa kwa mkutano wa bajeti kanisani

June 16th, 2026

Kuwait yapiga marufuku wafanyakazi wa nyumbani kutoka Kenya

June 12th, 2026

Wito wa amani kufuatia kisa cha mauaji msikitini

June 9th, 2026

Habari Za Sasa

KOMBE LA DUNIA: Senegal kazi ngumu, naye Messi asisimua...

June 17th, 2026

Aliyekuwa mhudumu wa benki anavyoigeuza nazi za Pwani kuwa...

June 17th, 2026

PROF IRIBE: Ilifurahisha kumwona Rais Samia akitumia...

June 17th, 2026

Mswada wa kumpa Tshisekedi ‘Three Tam’...

June 17th, 2026

KenyaBuzz

Cocoa Dreams

BUY TICKET

Deep Water

A group of international passengers on a flight from Los...

BUY TICKET

Psg Vs Arsenal UCL Final

BUY TICKET

Connect, Create & Carry

A relaxed and creative event where you connect with...

BUY TICKET

宁舍一顿饭,不舍二人转。

...

BUY TICKET

Trivia Social: The World Tour

Trivia Night at Kahoffee Join us for a fun and...

BUY TICKET
TAIFA LEO Logo

Mitandao ya kijamii

Maarufu sana

Wataalam waelezea hofu ya kaswende kukosa kugunduliwa mapema kwa wanawake

June 11th, 2026

Afrika inavyoweza kuziba pengo la Dola 90 bilioni katika ufadhili wa kilimo

June 13th, 2026

Mfumo mpya wa ufadhili wa elimu kuwafaidi vijana wengi nchini

June 16th, 2026

Usikose

KOMBE LA DUNIA: Senegal kazi ngumu, naye Messi asisimua dunia

June 17th, 2026

Aliyekuwa mhudumu wa benki anavyoigeuza nazi za Pwani kuwa ajira na utajiri

June 17th, 2026

PROF IRIBE: Ilifurahisha kumwona Rais Samia akitumia Kiswahili kuhutubu safu ya kimataifa

June 17th, 2026
Copyright © 2026 Nation Media Group. All rights reserved.