TAIFA LEO Logo
  • Habari
    • Habari za Kitaifa
    • Habari za Kaunti
    • Kimataifa
  • Siasa
  • Maoni
  • Makala
    • Afya na Jamii
    • Lugha, Fasihi na Elimu
    • Akili Mali
    • Jamvi La Siasa
    • Shangazi Akujibu
    • Bambika
    • Pambo
    • Dimba
  • Dondoo
  • Bi Taifa
  • Mashairi
  • Michezo
  • NIE Shuleni
  • ePaper
Habari Mseto

Chungeni msilipukiwe na gesi, Kuria aonya polisi Kiandutu

February 3rd, 2024 Kusoma ni dakika: 1
  • Shiriki mitandao ya kijamii:
  • Facebook
  • X
  • LinkedIn
  • Email
  • WhatsApp

NA MWANGI MUIRURI

WAZIRI wa Utendakazi wa Umma Moses Kuria amedai kwamba kuna kiwanda haramu cha gesi katika Kaunti ya Kiambu kinachohudumu karibu na kituo cha polisi.

Amedai kwamba kiwanda hicho alichosema kiko katika mtaa wa Kiandutu, kiko katika hatari ya kulipuka kwa wakati wowote na walio katika hatari kuu, ni maafisa wa polisi walio na afisi zao hapo karibu.

Aliongeza kwamba kituo hicho cha gesi hakina usajili wowote wa kisheria na kwamba ni haramu, ni hatari na hivyo kinafaa kuhalalishwa au kufungwa.

Soma Pia: Embakasi: Nema yatimua maafisa wanne kwa kutoa leseni tata

Wenyeji katika mtaa huo wa viunga vya mji wa Thika waliambia Taifa Leo kwamba kiwanda hicho huambatana na ukora mwingi sana hata wa kushambuliana kwa bunduki.

“Ni kiwanda cha kipekee. Mara kwa mara huwa kunazuka vita vya ufyatuliamaji risasi katika barabara ya kuingia na kutoka kiwandani humo,” akasema jirani wa kiwanda hicho.

Kiwanda cha gesi cha Kiandutu ambacho Waziri wa Utumishi wa Umma Moses Kuria amekimulika. PICHA | MWANGI MUIRURI

Hayo yanajiri huku Rais William Ruto akitoa msimamo mkali dhidi ya mamlaka za kutoa leseni kwamba wote watakaonaswa katika mtandao wa ufisadi, utepetevu na uzembe unaohatarisha maisha ya watu, watakamatwa, wafutwe kazi na kutupwa jela.

Hii ni baada ya kiwanda katika mtaa wa Embakasi kulipuka na kusababisha vifo vya watu watatu huku zaidi ya 300 wakipata majeraha.

mwangilink@gmail.com

Mfanyakazi wa Khalwale kuzikwa Jumatatu
  • Facebook
  • Twitter
  • LinkedIn
  • Email
  • WhatsApp
Maiti ya kitoto malaika yatupwa karibu na ofisi ya umma

Habari Mseto Zaidi

Mkuu wa kuwalinda mashahidi aagizwa afike mahakamani leo

August 18th, 2026

Ruto ataka walinzi wa kibinafsi na polisi kushirikiana...

August 6th, 2026

Oburu ‘Youth Leader’ naye ataka nafasi ya Naibu...

August 5th, 2026

Serikali itapunguza bei ya mbolea na mbegu mwaka ujao, Rais...

August 4th, 2026

Habari Za Sasa

Alivyopandisha hadhi ya shamba lake kwa kulima pitaya

August 18th, 2026

Kiwango cha njaa duniani chapungua huku ukame ukitishia...

August 18th, 2026

Yangu na yako yameishia hapa, Gavana Mutai amtema naibu wake

August 18th, 2026

Hichilema ajinasia ‘TuTam’ Zambia mpinzani wake...

August 18th, 2026

KenyaBuzz

Supergirl

When an unexpected and ruthless adversary strikes too close...

BUY TICKET

Tuner

A talented piano tuner's life is turned upside down when he...

BUY TICKET

Toy Story 5

When Bonnie receives a Lilypad tablet as a gift and becomes...

BUY TICKET

The Troy Social 2nd Edition

The Troy SocialTroy Mediterranean Mezze & RoofBar...

BUY TICKET

Tote Bag Painting

Get creative and design your very own custom tote bag at...

BUY TICKET

Classics in Nairobi

One orchestra. Seven incredible works. From the timeless...

BUY TICKET
TAIFA LEO Logo

Mitandao ya kijamii

Maarufu sana

Mrengo mpya sasa waibuka Mlimani kumuunga mkono Ruto

August 14th, 2026

Mgogoro: Ajabu wakifariki saa 3 baada kuoana

August 15th, 2026

Askofu, mbunge watofautiana kuhusu mchango wa Ruto matangani

August 15th, 2026

Usikose

Alivyopandisha hadhi ya shamba lake kwa kulima pitaya

August 18th, 2026

Kiwango cha njaa duniani chapungua huku ukame ukitishia mavuno nchini Kenya

August 18th, 2026

Yangu na yako yameishia hapa, Gavana Mutai amtema naibu wake

August 18th, 2026
Copyright © 2026 Nation Media Group. All rights reserved.