• Nairobi
  • Last Updated May 19th, 2024 10:50 AM
Mtoto, 12, afa maji kwa kutumbukia ndani ya josho la mifugo

Mtoto, 12, afa maji kwa kutumbukia ndani ya josho la mifugo

NA GEORGE MUNENE

MWANAFUNZI wa umri wa miaka 12 alikufa alipoanguka kwenye josho la ng’ombe lililofurika maji kijijini Kiandegwa, Kaunti ya Kirinyaga.

Kwenye mkasa huo wa Jumapili, mvulana huyo, Dennis Murimi, alitoroka kutoka kanisa la Kenya Revival Church ambako wazazi wake walikuwa wakishiriki ibada, akajiunga na watoto wengine waliokuwa wakicheza karibu na josho hilo.

Aliteleza na kutumbukia ndani ya josho hilo lililokuwa limejaa.

  • Tags

You can share this post!

Bintiye bwanyenye wa Pelikan Signs ashtakiwa kughushi wosia...

Niko tayari kumuoa hata kama amezaa na mwanamume mwingine...

T L