Mwanawe Jenerali Ogolla afichua mali haikumfurisha kichwa CDF
NA MARY WANGARI
MISAFARA ya magari ya kifahari na mali aliviona kama ubatili mtupu, marehemu Jenerali Francis Ogolla, atakayezikwa Jumapili katika kijiji cha Mor, eneobunge la Alego Usonga, Kaunti ya Siaya.