• Nairobi
  • Last Updated May 10th, 2024 10:55 PM
Rais wa Senegal awekwa karantini

Rais wa Senegal awekwa karantini

 AFP na FAUSTINE NGILA

Rais wa Senegal Macky Sall aliwekwa kwenye karantini baada ya kutangamana na mgonjwa wa corona lakini alipopimwa hakupatikana na virusi hivyo.

Nchi hio imerekodi visa 6,100 vya corona na vifo 93 kuanzia Mechi.

“Kulingana na ripoti ya daktari rais huyo atajiweka kwenye karantini kwa wiki mbili kuanzia Jumatano ,” alisema Seydou Gueye katika habari aliotoa kwenye televisheni.

Tangu janga hilo kuanza mapema mwaka huu viongozi tofauti wamepatikana na ugonjwa huo akiwemo waziri mkuu wa wa Uingereza Boris John aliyelazwa hospitalini na akapona.

  • Tags

You can share this post!

Rais wa Honduras na mkewe wapatikana na corona

Jubilee yameza Wiper na CCM

adminleo