Tag: bajeti
- by adminleo
- October 30th, 2019
Jaji azuia bajeti ya mahakama kupunguzwa
Na MAUREEN KAKAH IDARA ya Mahakama imepata afueni baada ya Mahakama Kuu kusimamisha hatua ya serikali ya kupunguza bajeti yake. Jaji...
- by adminleo
- August 28th, 2019
Kuondoka kwa Msimamizi wa Bajeti Agnes Odhiambo
Na CHARLES WASONGA KIPINDI cha kuhudumu cha Bi Agnes Odhiambo kama Msimamizi wa Bajeti (CoB) kilikamilika Jumanne, Agosti 27, 2019,...
- by adminleo
- June 15th, 2019
TAHARIRI: Serikali yafaa iwe na uwazi kwenye bajeti
Na MHARIRI HISIA tofauti zimetolewa tangu Alhamisi Waziri wa Fedha aliposoma taarifa ya makadirio ya matumizi ya pesa za serikali kwa...
- by adminleo
- June 15th, 2019
Bajeti haramu?
Na CHARLES WASONGA UTATA umeandama bajeti iliyosomwa bungeni Alhamisi baada ya kuibuka kuwa Serikali ilikiuka agizo la Mahakama na...
- by adminleo
- June 13th, 2019
‘Jua ni jinsi gani bajeti itakavyokuathiri’
Na CHARLES WASONGA SERIKALI imetenga Sh10.7 bilioni kulipa malimbikizi ya madeni ambayo asasi za serikali zinadaiwa na wafanyabiashara,...
- by adminleo
- June 13th, 2019
Kipi kitarajiwe bajeti ikisomwa?
Na SAMMY WAWERU KATIKA makadirio ya bajeti mwaka wa fedha 2019/2020 ajenda kuu nne ni miongoni mwa nguzo zinazolengwa ili kufanikisha...
- by adminleo
- May 11th, 2019
Afisi ya Rais yatengewa pesa ambazo ‘tayari zimeshatumika’
Na CHARLES WASONGA AFISI ya Rais imetengewa Sh645 milioni katika makadirio ya bajeti ya ziada yaliyowasilishwa bungeni Alhamisi jioni na...
- by adminleo
- July 31st, 2018
Majaji na mahakimu walia bajeti ya mahakama kukatwa
Na RICHARD MUNGUTI CHAMA cha mahakimu na majaji nchini (KMJA) Jumatatu kiliomba Serikali irekebishe bajeti iliyotengewa idara ya...
- by adminleo
- July 19th, 2018
HAKUNA KUPUMUA: Gharama ya maisha kuzidi kupanda
Na BENSON MATHEKA GHARAMA ya maisha inatarajiwa kupanda zaidi kuanzia katika muda siku 10 zijazo kutokana na ushuru mpya wa bidhaa. Kodi...
- by adminleo
- June 14th, 2018
BAJETI YA KUNYONYA: Raia kuumia zaidi
CHARLES WASONGA na VALENTINE OBARA BEI ya unga, maziwa, mkate, mafuta taa na bidhaa nyingine za kimsingi itapanda Bunge likipitisha...
- by adminleo
- May 24th, 2018
Iweje kaunti zinatumia 70% ya bajeti kulipa mishahara pekee?
Na BERNARDINE MUTANU Kaunti zimeendelea kutumia pesa zaidi kulipa mishahara na marupurupu kulingana na ripoti mpya kutoka kwa Mdhibiti wa...
- by adminleo
- May 6th, 2018
BAJETI: Ujenzi wa reli, elimu zapewa kipaumbele
Na CAROLYNE AGOSA UJENZI wa barabara na reli mpya ya SGR, uimarishaji elimu na uhifadhi mazingira zimepewa kipaumbele katika bajeti ya...