• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 2:10 PM

Mahakama ya juu yaombwa iruhusu mpango wa BBI wa kubadilishha katiba uendelee

Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA ya Juu jana ilianza kusikiza rufaa ya mpango wa kubadilisha katiba (BBI) huku Mwanasheria Mkuu Bw Paul...

Ndoto ya BBI lazima itatimizwa, Uhuru asema

Na BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta jana Jumapili alisema kuwa ndoto yake ya kubadilisha katiba ya Kenya iliyopitishwa 2010 kupitia...

Uhuru aapa kuwa BBI itatimia

Na CHARLES WASONGA KWA mara nyingine Rais Uhuru Kenyatta amesisitiza kuwa mageuzi ya katiba yaliyopendekezwa katika Mswada wa Mpango wa...

AG aanza rasmi juhudi za kuokoa BBI

Na JOSEPH WANGUI Mwanasheria Mkuu, Paul Kihara Kariuki hatimaye amewasilisha rasmi rufaa katika Mahakama ya Juu kupinga uamuzi wa...

Mudavadi ataka BBI kuangaliwa upya

Na Gitonga Marete KIONGOZI wa chama cha Amani National Congress (ANC) Musalia Mudavadi amesisitiza kuwa Bunge linapaswa kurejelea Mpango...

Ruto ataka wabunge wasipoteze muda wakifufua BBI

Na Leonard Onyango NAIBU wa Rais William Ruto amewataka wabunge kujadili masuala nyeti yanayoathiri Wakenya badala ya kujaribu kufufua...

BBI: Huenda juhudi za bunge zisizae matunda

Na CHARLES WASONGA JUHUDI za wabunge wanaoegemea mrengo wa Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM Raila Odinga kutumia bunge kupitisha...

IEBC na Kihara wakata rufaa kunusuru BBI

Na WALTER MENYA JUHUDI za kuokoa mchakato wa marekebisho ya katiba kupitia mpango wa maridhiano (BBI) zimefikishwa rasmi katika Mahakama...

Kuzikwa kwa BBI kwageuka pigo kwa Moi Bondeni

Na FRANCIS MUREITHI KUSAMBARATIKA kwa Mpango wa Kubadilisha Katiba (BBI) kumefifisha pakubwa ushawishi wa kisiasa wa mwenyekiti wa Kanu,...

BBI: Uhuru, Raila sasa kusuka mbinu mpya ya mageuzi

Na WANDERI KAMAU KUHARAMISHWA kwa Mpango wa Kubadilisha Katiba (BBI) na Mahakama ya Rufaa kunatarajiwa kutoa mwelekeo mpya kwa siasa za...

BBI: Ruto asifu mahakama na kumshauri Uhuru

Na WANDERI KAMAU NAIBU Rais William Ruto jana alimtaka Rais Uhuru Kenyatta kurejelea miradi ya maendeleo iliyoanzishwa na Jubilee, baada...

Walionufaika na kupoteza kwa uamuzi wa korti kuhusu BBI

Na Cecil Odongo BAADA ya Mahakama ya Rufaa kukubaliana na uamuzi wa mahakama kuu wa kuzima mswada wa Mpango wa Maridhiano (BBI) Ijumaa,...