Tag: eacc
LEONARD ONYANGO: Siasa zimesaidia wafisadi kuendelea kuponda raha
Na LEONARD ONYANGO MARA baada ya kutangaza kushirikiana na kinara wa ODM Raila Odinga mnamo Machi 2018, almaarufu handisheki, Rais Uhuru...
Waiguru alia kuhangaishwa tena na EACC
Na WANDERI KAMAU GAVANA Anne Waiguru wa Kiringaga amedai kuwa ameanza kuhangaishwa na washindani wake kisiasa baada ya kusema...
Wito EACC ichunguze maafisa wa elimu
Na MAUREEN ONGALA CHAMA cha Walimu wa Sekondari (KUPPET) kimeomba Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) ianzishe uchunguzi...
Uozo wa kimaadili miongoni wa wabunge waanikwa
Na CHARLES WASONGA HUKU Spika wa Bunge Justin Muturi akiahidi kuwa madai ya ufisadi yaliyoelekezewa wabunge fulani na kampuni moja ya...
EACC yaelezea hofu ya fedha za serikali kuporwa uchaguzi ukinukia
Na WALTER MENYA ASASI za kuchunguza ufisadi zimeelezea hofu kuhusu kutokea kwa visa vya wizi na ubadhirifu wa pesa za umma kupitia...
Boga na Mwashetani washtakiwe kwa wizi wa mahindi – EACC
Na CHARLES WASONGA MAAFISA wakuu katika Wizara ya Kilimo wakiongozwa na Katibu Hamadi Boga na Mbunge wa Lungalunga Khatib Mwashetani...
- by adminleo
- July 27th, 2020
ONYANGO: EACC iadhibu wanasiasa wanaopuuza maagizo
Na LEONARD ONYANGO WANASIASA wanaonekana kupuuzilia mbali agizo la Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) la kuwataka kukoma...
- by adminleo
- July 25th, 2020
Juhudi za kuzima ufisadi zachacha mali ikitwaliwa
JOSEPH WANGUI Na CHARLES WASONGA VITA dhidi ya ufisadi vinaonekana kuzaa matunda nchini baada ya Mahakama kukubaliana na Tume ya Maadili...
- by adminleo
- July 22nd, 2020
Joho awindwa na EACC
MOHAMED AHMED na FARHIYA HUSSEIN TUME ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) inachunguza madai ya ufujaji wa pesa katika Serikali ya...
- by adminleo
- July 19th, 2020
Junet hatarini kunyakwa na EACC kwa ufisadi
BRIAN WASUNA na RICHARD MUNGUTI MBUNGE wa Suna Mashariki, Bw Junet Mohammed, yumo hatarini kunyakwa na makachero wa Tume ya Maadili na...
- by adminleo
- May 28th, 2020
Mahakama yatetea uamuzi wa kumtoza faini ya Sh2m aliyeitisha hongo ya Sh15m
Na BENSON MATHEKA MAHAKAMA imetetea uamuzi wa kumtoza aliyekuwa meneja wa Mamlaka ya Ukusanyaji Ushuru (KRA), Robert Maina Ngumi faini...
- by adminleo
- March 4th, 2020
UFISADI: Waandamanaji Kisumu watisha kufunga ofisi za EACC
Na BRENDA AWUOR BAADHI ya wakazi wa Kaunti ya Kisumu wametisha kufunga ofisi za Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC)...