• Nairobi
  • Last Updated April 30th, 2024 8:19 PM

Maimamu wataka tume mpya ibuniwe kusaidia EACC

Na TITUS OMINDE BARAZA la Maimamu na Wahubiri wa Kenya (CIPK) ukanda wa North Rift linataka serikali kuunda tume mpya ya kusaidia Tume...

Wito EACC ipige msasa ugavi ardhi

Na ANTHONY KITIMO WAKAZI wa Kwale wameitaka Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC), kuchukua hatua ya haraka na kuchunguza...

Maafisa wa EACC wafanya msako nyumbani kwa Gavana Waititu

Na MWANDISHI WETU MAAFISA wa Tume ya Maadili na Kupambana dhidi ya Ufisadi (EACC) wamefanya msako Alhamisi katika nyumba ya Gavana wa...

Wakenya wachunguze vyama kabla ya kuwekeza fedha – EACC

NA CECIL ODONGO MAAFISA wa Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi(EACC), wamewataka Wakenya kuchunguza kwa makini kabla ya kujiunga na...

UFISADI: Afisa mteule EACC afichua alinolewa katika FBI na CIA, Amerika

Na CHARLES WASONGA AFISA MPYA aliyeteuliwa kwa wadhifa wa Afisa Mkuu Mtendaji wa Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) Twalib...

Wakenya 13 waomba kazi ya kusimamia EACC

Na BERNARDINE MUTANU WAKENYA 13 wameorodheshwa kwa mahojiano kujaza wadhifa wa mkurugenzi mkuu wa Tume ya Maadili na Kupambana na...

KURUNZI YA PWANI: EACC yachunguza ubaguzi katika ugavi wa basari Kibarani

NA SAMUEL BAYA Tume ya kupambana na ufisadi (EACC) eneo la Pwani imeanzisha uchunguzi kuhusu ugawaji duni wa basari katika kamati ya...

Washukiwa wa ufisadi warushwe rumande kesi zikiendelea – Wabukala

Na VALENTINE OBARA TUME ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) sasa inataka washukiwa wa ufisadi wawe wakisukumwa rumande kesi zao...

ONYANGO: EACC isijifiche kwa Biblia, iweke mikakati inayofaa

Na LEONARD ONYANGO TUME ya Maadili na Kukabiliana na Ufisadi (EACC) kwa mara nyingine imejaribu kutumia neno la Mungu katika juhudi za...

Madiwani waliokataliwa na wapigakura kuchunguzwa na EACC

Na PETER MBURU TUME ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) Jumatatu imeandikia wawakilishi wadi wanane wa Kaunti ya Busia wa zamani...

Hatuwezi kutazama mamilioni ya mafuta yakifyonzwa KPC – Halakhe Waqo

Na CHARLES WASONGA Afisa Mkuu Mtendaji wa Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) Halakhe Waqo Jumanne alitofautiana vikali na...

Maafisa wa kaunti waingia mafichoni kuhepa kukamatwa na EACC

TOM MATOKE NA BARNABAS BII   MAAFISA wakuu katika Serikali ya Kaunti ya Nandi wamekimbilia mafichoni kuhepa maafisa wa Tume ya...