• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 6:55 AM

Kipchoge, Chepng’etich roho mkononi tuzo ya manariadha bora ikiandaliwa

Na GEOFFREY ANENE WAKENYA Eliud Kipchoge, Faith Chepng’etich na Emmanuel Wanyonyi watafahamu Jumatano usiku kama walifanya ya kutosha...

Isuzu EA yaongeza mkataba na gunge Eliud Kipchoge kwa miaka miwili

Na AYUMBA AYODI KAMPUNI ya magari ya Isuzu East Africa imeongeza ushirikiano wake na bingwa wa marathon wa Olimpiki Eliud Kipchoge kwa...

Kipchoge kuwania tuzo ya mwanariadha bora duniani dhidi ya Cheptegei, wengine wanane

Na GEOFFREY ANENE BINGWA mara mbili wa marathon kwenye Olimpiki, Eliud Kipchoge ana fursa nyingine ya kuwania tuzo ya mwanariadha bora...

Kipchoge azindua wakfu, alenga kuwapa watoto maarifa

Na GEOFFREY ANENE MSHIKILIZI wa rekodi ya dunia ya mbio za kilomita 42 ya wanaume, Eliud Kipchoge amezindua wakfu wake - Eliud Kipchoge...

‘Uganda ni mwalimu wa jinsi Kenya ilifaa kukaribisha wanariadha’

Na GEOFFREY ANENE WAZIRI wa Michezo Amina Mohamed pamoja na Rais Uhuru Kenyatta wamekashifiwa vikali kwa kutojitokeza katika uwanja wa...

Isuzu EA yapangia Kipchoge mapokezi motomoto

Na GEOFFREY ANENE KAMPUNI ya magari ya Isuzu East Africa imeeleza kufurahia balozi wake wa magari ya D-Max, Eliud Kipchoge aliyehifadhi...

NIMETIMIZA NDOTO: Kipchoge anyakua dhahabu ya marathon

Na MASHIRIKA ELIUD Kipchoge amesema “ametimiza ndoto yake kitaaluma” baada ya kuwa mwanariadha wa kwanza tangu 1980 kuhifadhi...

Niko tayari kutetea taji langu la marathon Olimpiki – Kipchoge

Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa mbio za kilomita 42 kwenye Olimpiki mwaka 2016, Eliud Kipchoge ametangaza kuwa yuko tayari kutetea taji lake...

Eliud Kipchoge alenga kufanya kitu atakachokumbukwa nacho kwa muda mrefu kwenye Olimpiki

Na GEOFFREY ANENE BINGWA mtetezi Eliud Kipchoge ametangaza kuwa misheni yake kubwa si kushiriki tu marathon kwenye Olimpiki 2020, bali...

Loroupe ataka viatu vya utata vya Kipchoge vipigwe marufuku mashindanoni

Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa zamani wa dunia wa mbio za kilomita 21, Tegla Loroupe ameibua mjadala mkali kuhusu viatu vya kisasa...

Kipchoge afagia NN Marathon, macho sasa kwa Olimpiki

Na CHRIS ADUNGO BINGWA wa dunia na mshikilizi wa rekodi ya dunia katika mbio za kilomita 42, Eliud Kipchoge, alirejea kunogesha fani...

Isuzu East Africa kumpokea Kipchoge kishujaa wiki ijayo

Na CHRIS ADUNGO KAMPUNI ya Isuzu East Africa imefichua mipango ya kumpa Eliud Kipchoge ambaye ni balozi wa mauzo wa bidhaa zake mapokezi...