• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

TAHARIRI: Kazi Mtaani iboreshwe na iwe na uwazi

KITENGO cha UHARIRI SERIKALI inafaa ihakikishe kuwa awamu ya tatu ya Kazi Mtaani inayotarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni inafanikiwa na...

Benki ya Dunia yapiga jeki mpango wa Kazi Mtaani kwa Sh16.2 bilioni

Na BENSON MATHEKA BENKI ya Dunia imepiga jeki mpango wa Kazi Mtaani nchini Kenya kwa kupatia serikali mkopo wa Sh16.2 bilioni kuimarisha...

KAZI MTAANI: Elungata awaondolea hofu vijana wanaodai wazee wamechukua nafasi zao

Na MISHI GONGO MSHIRIKISHI wa usalama katika eneo la Pwani Bw John Elungata amepinga madai kuwa mpango wa Kazi Mtaani umekuwa ukiajiri...

Kamishna awaonya wanasiasa wanaotaka kuchafua Kazi Mtaani

Na WINNIE ATIENO WANASIASA katika Kaunti ya Mombasa wamelaumiwa kwa kushurutisha machifu kuwaajiri vijana kutoka maeneo yao kwenye mradi...

Matunda ya Kazi Mtaani yaonekana mitaa kadhaa Nairobi

Na SAMMY WAWERU MPANGO wa kuhakikisha vijana wanajiendeleza kimaisha Kaunti ya Nairobi na maeneo mengine nchini unaendelea Kaunti ya...

Mpango unaolenga kuwainua vijana kupanuliwa zaidi

Na LAWRENCE ONGARO MPANGO wa Kazi kwa Vijana utaendelea katika kaunti zingine ili vijana waweze kujikimu kimaisha. Waziri msaidizi wa...

Kwale yaibuka bora zaidi katika mpango wa ajira kwa vijana

Na WINNIE ATIENO KAUNTI ya Kwale imetajwa kuwa bora zaidi katika kuimarisha mpango wa serikali kuu wa kuwapa ajira vijana maarufu 'Kazi...