Tag: Ken Walibora
- by adminleo
- April 20th, 2020
Utata zaidi ripoti ikiashiria Walibora aliuawa
Na CHRIS ADUNGO POLISI sasa wameshinikizwa kutoa video za kamera za CCTV zitakazosaidia kutegua kitendawili cha kifo cha Prof Ken...
- by adminleo
- April 19th, 2020
Niliposikia kifo cha Walibora, mikono yangu iliganda – Jack Oyoo Sylvester
Na GEOFFREY ANENE Kenya inaendelea kuomboleza kifo cha Profesa Ken Walibora, huku mtangazaji shupavu wa Shirika la Utangazaji Kenya...
- by adminleo
- April 18th, 2020
Walibora hakujua kuficha uozo, alieleza yaliokuwa moyoni bila kutetereka – Kennedy Wandera
NA KENNEDY WANDERA Nilikutana na Prof Ken Walibora Juni 22, 2016 saa 8:02 katika makao makuu ya taasisi yaukuzaji mitaala nchini Kenya...
- by adminleo
- April 17th, 2020
KAULI YA WALIBORA: Mbona twaogopa kukiuka haki za wauaji wa lugha?
NA PROF KEN WALIBORA HII ni enzi ya uhuru na haki. Katika enzi hii nimeona watoto wa shule za msingi wakiandamana na mabango yenye...
- by adminleo
- April 16th, 2020
KAULI YA WALIBORA: Kuundwa kwa Baraza la Kiswahili njia pekee ya kuenzi wafia lugha
NA PROF KEN WALIBORA SIKU zote alipokuwa bungeni, Kathangu alikuwa akizungumza Kiswahili, japo hakuwa mzawa wa Uswahilini”?Wiki hii...
- by adminleo
- April 16th, 2020
NGURE: Kuundwa Baraza la Kiswahili itakuwa tuzo kwa Walibora
NA ALEX NGURE TUNAFURAHI sana tukiangalia vile Kiswahili kilivyopiga hatua lakini watu wajue kuwa ukiona vinaelea ujue vimeundwa....
- by adminleo
- April 16th, 2020
DCI yaanza kuchunguza kifo cha Prof Walibora
Na CHRIS ADUNGO IDARA ya Upelelezi ya kesi za Jinai, DCI, sasa imeanzisha uchunguzi ili kubaini iwapo Profesa Ken Walibora alifariki...
- by adminleo
- April 16th, 2020
BURIANI WALIBORA: Washairi watumia ubunifu wao kumwomboleza ‘Shakespeare’ wa Kiswahili
BURIANI PROFESA Weye kweli ni shujaa, ninasema duniani Kifo chako meduwaa, kusikia redioni Mafunzoyo yatang'aa, daima...
- by adminleo
- April 16th, 2020
BURIANI WALIBORA: Kenya yamwomboleza mwandishi stadi
Na CHRIS ADUNGO BIWI la simanzi limetanda nchini Kenya kufuatia taarifa za kifo cha ghafla cha mwandishi, mwalimu na mwanahabari...
- by adminleo
- April 16th, 2020
Buriani mwanasafu mwenza Ken Walibora – Bitugi Matundura
NA BITUGI MATUNDURA KIPINDI kati ya miaka ya 1980 hadi 1990 kilikuwa ni kipindi kigumu mno kwa fasihi ya Kiswahili kwa jumla na hususan...
- by adminleo
- April 15th, 2020
Walibora alinikuza kifasihi – Mwandishi wa Taifa Leo Wanderi Kamau
Na WANDERI KAMAU PROFESA Ken Walibora ni mwandishi aliyekuwa kwenye kiwango chake maalum cha uandishi. Alikuwa na upekee wake; upekee...
- by adminleo
- April 15th, 2020
Yasikitisha Walibora hataona diwani yangu aliyoifasiri – Mshairi Abdilatif Abdalla
NA ABDILATIF ABDALLA MSHAIRI, MOMBASA Nimezipokea hivi leo asubuhi habari za kifo cha Profesa Ken Walibora kwa masikitiko makubwa...