• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 9:50 AM
Moto wateketeza gereza kuu la Kondengui nchini Cameroon

Moto wateketeza gereza kuu la Kondengui nchini Cameroon

Na MASHIRIKA

YAOUNDE, CAMEROON

MOTO mkubwa ulizuka Jumatatu katika gereza kuu la Kondengui jijini Yaoundé nchini Cameroon wakati wafungwa wengi wanaoaminika kutokea katika maeneo yanayozungumza Kiingereza kuandamana wakishinikiza waachiliwe.

Milio ya risasi pia ilisikika katika gereza hilo.

Msemaji wa chama cha upinzani, Social Democratic Front (SDF), amesema wafungwa wanne waliuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa wakati risasi za moto zilitumika na vilevile mabomu ya kutoa machozi.

  • Tags

You can share this post!

SAKATA YA MABWAWA: Mbadi awataka Ruto na Murkomen kujiuzulu

WAKILISHA: Kipaji chao ni kwa ajili yao na jamii pia

adminleo