• Nairobi
  • Last Updated May 7th, 2024 8:11 PM

Israel yavamia Al Jazeera baada ya amri ya kufungwa kwa kituo chake cha runinga

Na MASHIRIKA JERUSALEM, Israel MAAFISA wa Israel walivamia chumba kimoja cha hoteli jijini Jerusalem kinachotumiwa na shirika la habari...

Watu 12 wauawa katika shambulio la bomu kwa kambi za wakimbizi DRC

NA MASHIRIKA GOMA, DRC WATU 12, wakiwemo watoto, wameuawa katika milipuko ya mabomu iliyorushwa katika kambi mbili za watu...

Waasi wa M23 wadhibiti eneo la madini ya kutengenezea smartphone

NA REUTERS KINSHASA, DRC WAASI wa M23 mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wameudhibiti mji wa Rubaya, ambao ni...

Mafuriko, radi, dhoruba, yahangaisha walimwengu

NA MASHIRIKA MAFURIKO, radi na dhoruba yanaendelea kuhangaisha walimwengu mvua kubwa ikishuhudiwa katika nchi mbalimbali. Wengi...

Watu 155 waaga dunia TZ kufuatia mafuriko, maporomoko ya ardhi

NA MASHIRIKA DAR ES SALAM, TANZANIA WATU 155 wamepoteza maisha na wengine 236 kujeruhiwa kufuatia mafuriko na maporomoko ya ardhi...

Watu 10 wafariki Malaysia kufuatia ajali ya helikopta mbili

NA MASHIRIKA KUALA LUMPUR, MALAYSIA WATU 10 wameaga dunia baada ya helikopta mbili kugongana hewani wakati wa maandalizi ya hafla moja ya...

Iraq yashambulia kambi ya Amerika kwa roketi nchini Syria

HASAK, SYRIA NA MASHIRIKA ROKETI zilirushwa Jumapili jioni kutoka kaskazini mwa Iraq katika kambi ya kijeshi nchini Syria inayohifadhi...

Iran yafananisha shambulio la Israel na ‘kalongolongo’

NA MASHIRIKA TEHRAN, IRAN SERIKALI ya Iran imedunisha shambulio lililotekelezwa na Israel mnamo Ijumaa, huku ikilirejelea kama hafifu na...

Amerika yawafurusha raia 50 wa Haiti waliotoroka vita nchini kwao

NA MASHIRIKA WASHINGTON DC, AMERIKA AMERIKA imewafurusha raia 50 wa Haiti ambao walihamia Washington kutokana na mapigano makali...

Israel yajibu shambulio la Iran kama ilivyoapa licha cha kuombwa isilipize kisasi

NA MASHIRIKA JERUSALEM, ISRAEL HATA baada ya serikali za nchi kadhaa duniani kuiomba Israel isilipize kisasi, jeshi la nchi hiyo...

Ndege zaelea kwenye mafuriko na kulazimu uwanja kufungwa

NA MASHIRIKA DUBAI, MILKI ZA KIARABU (UAE) UWANJA wa ndege wa Kimataifa wa Dubai umefungwa kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na...

Watu tisa waliokamatwa kwa kumzomea mke wa rais waachiliwa

NA MASHIRIKA WANAWAKE tisa waliokamatwa nchini Zimbabwe kwa madai ya kumzomea mke wa rais Auxillia Mnangagwa wameondolewa mashtaka,...