• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 4:28 PM

BI TAIFA APRILI 5, 2021

DELUNA Mary ndiye anatupambia ukurasa leo. Yeye ni mwanamitindo jijini. Uraibu wake ni kusafiri, kusoma na kuogelea. Picha/ Dennis Onsongo

BI TAIFA FEBRUARI 27, 2021

MGENI wetu ni Jaquiline Cheruiyot, 26. Ni mtaalam wa mapambo kutoka Nakuru.Uraibu wake ni kutazama filamu, kusoma na kucheza voliboli....

BI TAIFA FEBRUARI 24, 2021

MAUREEN Morena, 22, ni mwigizaji wa filamu kutoka Nakuru. Anapenda kupatana na marafiki wapya na kuogelea. Picha/ Richard Maosi

BI TAIFA FEBRUARI 23, 2021

MAURINE Nzalambi Linton, 21, ni mzaliwa wa Kaunti ya Mombasa. Uraibu wake ni kutazama mchezo wa kandanda, kusoma na kujumuika na marafiki...

BI TAIFA FEBRUARI 22, 2021

ALICE Wangare mwenye umri wa miaka 22 ni mfanyabiashara na mwanafasheni kutoka mjini Nakuru. Uraibu wake ni kuandaa keki, kuogelea na...

BI TAIFA FEBRUARI 13, 2021

ZELIHA Wamboi, 24, kutoka jijini Nairobi ndiye anatupambia ukurasa leo. Anapenda kutazama filamu na kusikiliza muziki. Picha/ Richard Maosi

BI TAIFA FEBRUARI 11, 2021

BRIDGIT Regina, 22, ni mwanafasheni kutoka jijini Nairobi. Anapenda kusafiri, kujumuika na marafiki na kuogelea. Picha/ Richard Maosi

BI TAIFA FEBRUARI 9, 2021

MGENI wetu leo ni Bi Luria Mercy ambaye ni mzaliwa na mfanyabiashara mjini Elburgon, Kaunti ya Nakuru. Uraibu wake ni kusafiri, kusoma na...

BI TAIFA FEBRUARI 8, 2021

CATHERINE Muthoni, 22, ndiye anayetupambia ukurasa huu leo. Bi Muthoni aliye mkazi wa Nyahururu anapenda kujumuika na marafiki, kusafiri...

BI TAIFA JANUARI 29, 2021

WEMA JEROP ndiye anayetupambia ukurasa wetu leo. Yeye ni mfanyabiashara kutoka Baringo. Uraibu wake ni kuogelea na kusafiri. Picha/...

BI TAIFA JANUARI 28, 2021

PARIS THUO, 21, ni mwanafunzi wa uanahabari katika Chuo Kikuu cha Maasai Mara. Uraibu wake ni kusoma riwaya, kutazama filamu na kupiga...

BI TAIFA JANUARI 27, 2021

MGENI wetu leo ni Sharon Mbaika, 21. Ni mzaliwa wa Kitui. Yeye ni mwanafasheni. Uraibu wake ni kushiriki kwenye majukwaa ya mapambo,...