Tag: mrembo
BI TAIFA JANUARI 26, 2021
JACKLINE Nyawira, 20, ni mzaliwa wa Nyeri. Yeye ni mwanafunzi katika chuo kikuu cha Kenyatta kwa sasa anakosomea udaktari. Uraibu wake ni...
BI TAIFA JANUARI 25, 2021
DAMARIS Wangoi, 23, kutoka Nakuru ndiye anatupambia ukurasa leo. Yeye ni mjuzi wa masuala ya vipodozi. Uraibu wake ni kutazama filamu za...
BI TAIFA JANUARI 8, 2021
MARGARET Nyambura, 22, ni mkazi wa Free Area, Kaunti ya Nakuru. Ni mfanyabiashara na uraibu wake ni kuogelea, kusafiri na kusakata densi....
BI TAIFA JANUARI 7, 2021
RUTH Mukami ni mfanyabiashara mjini Elburgon katika Kaunti ya Nakuru. Uraibu wake ni kusafiri na kuimba. Picha/ John Njoroge
- by adminleo
- November 2nd, 2019
BI TAIFA NOVEMBA 2, 2019
VIVIAN Moraa, 20, ni mwanafunzi wa taaluma ya Uanahabari katika Chuo cha RVIBS, Nairobi. Uraibu wake ni kuigiza. Picha/ Richard Maosi
- by adminleo
- July 20th, 2019
BI TAIFA JUMAMOSI, JULAI 20, 2019
ASHER Annex, 23, ni mwanafunzi katika Chuo cha Mwangaza, Nakuru. Uraibu wake ni kuogelea, kusafiri na kukutana na marafiki wapya. Picha/...
- by adminleo
- March 30th, 2019
BI TAIFA JUMAMOSI, MACHI 30, 2019
JANE BROWN, 22, ni mhasibu katika kampuni moja mjini Nakuru. Uraibu wake ni kuogelea, kusafiri na kutazama filamu. Picha/ Richard Maosi
- by adminleo
- March 22nd, 2019
BI TAIFA IJUMAA, MACHI 22, 2019
MGENI wetu wa leo ni Bi Anita Cherotich, 23, mwanafunzi katika chuo cha Cambridge, Eldoret. Uraibu wake ni kuogelea, kusafiri na kuimba...
- by adminleo
- March 15th, 2019
BI TAIFA, IJUMAA, MACHI 15, 2019
MGENI wetu wa leo ni Bi Lilian Awino, 22. Yeye ni mwanafunzi katika Chuo Kikuu cha Egerton, Njoro, Nakuru. Uraibu wake ni kuogelea,...
- by adminleo
- March 9th, 2019
BI TAIFA, JUMAMOSI, MACHI 9, 2019
PAULINE ANN, 21, ni mwanafunzi kutoka eneo la Ol-Kalou. Uraibu wake ni kuogelea, kusafiri na kutazama filamu. Picha/ Richard Maosi
- by adminleo
- March 8th, 2019
BI TAIFA IJUMAA, MACHI 8, 2019
Aliyebahatika kuwa mgeni wetu kwenye ukumbi huu ni malkia Sakeenah Raysheed kutoka kaunti ya Kirinyaga. Yeye hupenda kucheza densi,...