Tag: muturi
- by T L
- December 23rd, 2021
Muturi awaita wabunge tena kujadili mswada tata wa vyama vya kisiasa
Na CHARLES WASONGA SIKU moja baada ya wabunge wandani wa Naibu Rais William Ruto kufaulu kuchelewesha kupitishwa kwa Mswada tata wa...
Muturi aziba mwanya ambao wabunge hutumia kutafuna maelfu
Na CHARLES WASONGA SPIKA Justin Muturi ametoa amri kwamba ni wabunge saba pekee wataruhusiwa kusafiri maeneo mbalimbali nchini...
- by adminleo
- August 5th, 2020
Kamati yapinga LSK kutaka bunge livunjwe
Na CHARLES WASONGA KAMATI ya Bunge kuhusu Haki na Masuala ya Sheria (JLAC), imepuuzilia mbali shinikizo za Chama cha Wanasheria Nchini...
- by adminleo
- March 5th, 2020
Misingi ya vyama vya kisiasa sharti izingatiwe katika sheria na Katiba – Muturi
Na WANDERI KAMAU SPIKA wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi amesema Alhamisi kuwa lazima misingi ya vyama vya kisiasa ikitwe katika Katiba...
- by adminleo
- December 2nd, 2019
BBI: Muturi azima ndoto ya Tangatanga
JUSTUS OCHIENG Na LEONARD ONYANGO WANASIASA wa kundi la Tangatanga wamepata pigo baada ya Spika Justin Muturi kusema kuwa hatakubali...
- by adminleo
- October 16th, 2019
Muturi aagiza wabunge kuwaadhibu mawaziri wanaokosa kufika mbele yao
Na CHARLES WASONGA SPIKA wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi ameziagiza kamati mbalimbali kuchukua hatua kali dhidi ya mawaziri ambao...
- by adminleo
- September 24th, 2018
Juhudi za kumng’oa Spika Muturi, Duale na Mbadi zaanza
Na WAANDISHI WETU WABUNGE waliowakaidi Rais Uhuru Kenyatta na Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga kuhusu Mswada wa Fedha wa 2018, sasa...
- by adminleo
- August 6th, 2018
Spika aitisha ripoti ya wabunge waliozuru Urusi kutazama Kombe la Dunia
Na DAVID MWERE SPIKA wa bunge la taifa, Bw Justin Muturi, amewataka wabunge waliotumia pesa za umma kwenda Urusi kutazama Kombe la Dunia...
- by adminleo
- March 27th, 2018
Jaji Kihara na Haji waidhinishwa na kamati ya bunge
Na CHARLES WASONGA KAMATI ya Bunge kuhusu Uteuzi (JLAC) imemwidhinisha Rais wa Mahakama ya Rufaa, Jaji (mstaafu) Paul Kihara Kariuki kuwa...
- by adminleo
- February 28th, 2018
TAHARIRI: Heko Spika Muturi kukataa ombi tata
[caption id="attachment_2286" align="aligncenter" width="800"] Spika wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi. Picha/ Maktaba[/caption] NA...