Tag: punguza mizigo
- by adminleo
- December 5th, 2019
Yaibuka BBI sasa itachukua mkondo wa ‘Punguza Mizigo’
Na JUTUS OCHIENG MGONGANO unanukia kati ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) na wanasiasa wanaovumisha ripoti ya Jopokazi la...
- by adminleo
- October 16th, 2019
Aukot adai Mswada wa Punguza Mizigo uliyumbishwa na wanasiasa wenye tamaa
Na SAMMY WAWERU KIONGOZI wa Thirdway Alliance Dkt Ekuru Aukot amesema kuanguka kwa Mswada wa Punguza Mizigo kumechangiwa zaidi na...
- by adminleo
- September 22nd, 2019
Madiwani wa Mandera watoa ahadi kupitisha ‘Punguza Mizigo’
Na MANASE OTSIALO MADIWANI wa bunge la Kaunti ya Mandera, Ijumaa waliahidi kiongozi wa chama cha Thirdway Alliance, Ekuro Aukot, kwamba...
- by adminleo
- September 11th, 2019
Waiguru, Aukot wakwaruzana tena kuhusu Punguza Mizigo
NA LEONARD ONYANGO GAVANA wa Kirinyaga Anne Waiguru na kiongozi wa Thirdway Alliance, Ekuru Aukot Jumatano waliendelea kurushiana cheche...
- by adminleo
- August 31st, 2019
Mswada ‘Punguza Mizigo’ waelekea kugonga ukuta
Na WANDERI KAMAU, BENSON MATHEKA na COLLINS OMULO MSWADA wa kura ya maamuzi wa Punguza Mizigo unaopigiwa debe na Dkt Ekuru Aukot wa...
- by adminleo
- August 24th, 2019
Magavana njiapanda kuhusu miswada miwili
Na GITONGA MARETE na CHARLES WASONGA MAGAVANA sasa wako njia-panda kuhusu iwapo waunge mkono kura ya maamuzi inayopendekezwa ya Punguza...
- by adminleo
- August 15th, 2019
Kaunti kutoa msimamo wao kuhusu ‘Punguza Mizigo’
NA CECIL ODONGO MUUNGANO wa Mabunge ya Kaunti (CAF) Alhamisi utatangaza msimamo wake ikiwa yataunga au kupinga mswada wa Punguza Mizigo...
- by adminleo
- August 14th, 2019
Wito maoni ya BBI na ‘Punguza Mizigo’ yaunganishwe
Na SAMUEL BAYA WITO umetolewa kuunganisha mapendekezo ya vuguvugu la ‘Punguza Mzigo Initiative’ na lile la ‘Building Bridges...
- by adminleo
- August 12th, 2019
Seneta apigia debe Punguza Mizigo
Na OSCAR KAKAI SENETA wa Kaunti ya Pokot Magharibi, Bw Samuel Poghisio ameunga mkono mapendekezo kwenye mswada wa marekebisho ya...
- by adminleo
- July 31st, 2019
Mswada wa Punguza Mizigo wapata pigo mahakamani
Na SAM KIPLAGAT MAHAKAMA Kuu imesimamisha mabunge yote 47 ya kaunti kujadili wala kupitisha mswada wa marekebisho ya katiba...
- by adminleo
- July 31st, 2019
Maspika wa kaunti waahidi kutoa msimamo huru kuhusu ‘Punguza Mizigo
Na SAM KIPLAGAT na WANDERI KAMAU MAHAKAMA Kuu imesimamisha mabunge 47 kujadili na kuidhinisha mswada wa Punguza Mizigo ulioasisiwa na...
- by adminleo
- July 31st, 2019
Bunge halina usemi kuhusu ‘Punguza Mizigo’ – Aukot
NDUNGU GACHANE na WANDERI KAMAU KIONGOZI wa chama cha Thirdway Alliance, Dkt Ekuru Aukot, amepuuzilia mbali madai ya baadhi ya wabunge...