• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:55 PM

Wanafunzi waliotia fora tamashani kumtumbuiza Ruto

Na ANTHONY NJAGI WANAFUNZI waliotia fora katika Tamasha la Muziki la Kitaifa Jumanne wanatarajiwa kutumbuiza wakuu serikalini...

Shule za upili zawasilisha nyimbo za kuvutia zikihimiza maendeleo

Na ANTHONY NJAGI SHULE za upili jana zilifika jukwani kwa kishindo katika Tamasha ya Kitaifa ya Muziki katika Chuo Kikuu cha Kabarak kwa...

Wanafunzi wakerwa na chuo kutowapeleka mashindanoni

Na GEORGE NDISYA WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Masinde Muliro wamekashifu kufutiliwa mbali kwa mipango ya kushiriki katika mashindano ya...

Densi yachangamsha katika tamasha za muziki

Na ANTHONY NJAGI WANAFUNZI wa shule ya Bridge Mitume Academy kutoka Kitale, Kaunti ya Trans Nzoia walitia fora jana waliposakata densi...

Usalama waimarishwa kwenye tamasha za muziki Kabarak

NA ANTHONY NJAGI USALAMA umeimarishwa katika Chuo Kikuu cha Kabarak huku Tamasha za Kitaifa za Sanaa na Muziki, makala ya 93 zikiingia...

Wanafunzi waonyesha umahiri wao katika tamasha za muziki

Na ANTHONY NJAGI TAMASHA za 93 za muziki ziliingia siku yake ya pili Jumapili katika Chuo Kikuu cha Kabarak, huku wanafunzi wa...

Emitik wakali wa nyimbo za kitamaduni tamashani

NA RICHARD MAOSI Tamasha za muziki 2019 katika Kaunti ya Nakuru zilitamatika Jumamosi kwenye shule ya wavulana ya Utumishi Boys Academy...

WATOTO: Mkali wa nyimbo anayesisimua kwa weledi wake

Na PATRICK KILAVUKA UBUNIFU na kujitolea katika kukuza vipawa vyake, kulimweka katika hali ya kutimiza ndoto yake ya kuwa kiongozi wa...

Mshairi atishia kuishtaki shule kwa kuiba ubunifu wake

Na NICHOLAS KOMU VIONGOZI wa Mashindano ya Tamasha za muziki nchini wamekanusha vikali madai ya mshairi mmoja kwamba shairi lake...

Afisa wa wizara ashtakiwa kuiba tikiti za tamasha

Na JOSEPH WANGUI AFISA wa Wizara ya Elimu aliyedaiwa kuiba mabunda matano ya tikiti za kuhudhuria mashindano ya kitaifa ya tamasha ya...

Masharti makali yatolewa kulinda wanafunzi tamashani

Na IRENE MUGO MABASI yanayosafirisha wanafunzi kuhudhuria mashindano ya kitaifa ya muziki yanayoendelea katika Kaunti ya Nyeri...

Shule ya walemavu yang’aa tamashani

Na LAWRENCE ONGARO SHULE ya msingi ya walemavu ya JOY Town, mjini Thika, iliibuka ya pili katika mashindano ya muziki yaliyoshirikisha...