Tag: tamasha
- by adminleo
- August 12th, 2019
Wanafunzi waliotia fora tamashani kumtumbuiza Ruto
Na ANTHONY NJAGI WANAFUNZI waliotia fora katika Tamasha la Muziki la Kitaifa Jumanne wanatarajiwa kutumbuiza wakuu serikalini...
- by adminleo
- August 9th, 2019
Shule za upili zawasilisha nyimbo za kuvutia zikihimiza maendeleo
Na ANTHONY NJAGI SHULE za upili jana zilifika jukwani kwa kishindo katika Tamasha ya Kitaifa ya Muziki katika Chuo Kikuu cha Kabarak kwa...
- by adminleo
- August 8th, 2019
Wanafunzi wakerwa na chuo kutowapeleka mashindanoni
Na GEORGE NDISYA WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Masinde Muliro wamekashifu kufutiliwa mbali kwa mipango ya kushiriki katika mashindano ya...
- by adminleo
- August 6th, 2019
Densi yachangamsha katika tamasha za muziki
Na ANTHONY NJAGI WANAFUNZI wa shule ya Bridge Mitume Academy kutoka Kitale, Kaunti ya Trans Nzoia walitia fora jana waliposakata densi...
- by adminleo
- August 6th, 2019
Usalama waimarishwa kwenye tamasha za muziki Kabarak
NA ANTHONY NJAGI USALAMA umeimarishwa katika Chuo Kikuu cha Kabarak huku Tamasha za Kitaifa za Sanaa na Muziki, makala ya 93 zikiingia...
- by adminleo
- August 4th, 2019
Wanafunzi waonyesha umahiri wao katika tamasha za muziki
Na ANTHONY NJAGI TAMASHA za 93 za muziki ziliingia siku yake ya pili Jumapili katika Chuo Kikuu cha Kabarak, huku wanafunzi wa...
- by adminleo
- June 9th, 2019
Emitik wakali wa nyimbo za kitamaduni tamashani
NA RICHARD MAOSI Tamasha za muziki 2019 katika Kaunti ya Nakuru zilitamatika Jumamosi kwenye shule ya wavulana ya Utumishi Boys Academy...
- by adminleo
- August 17th, 2018
WATOTO: Mkali wa nyimbo anayesisimua kwa weledi wake
Na PATRICK KILAVUKA UBUNIFU na kujitolea katika kukuza vipawa vyake, kulimweka katika hali ya kutimiza ndoto yake ya kuwa kiongozi wa...
- by adminleo
- August 16th, 2018
Mshairi atishia kuishtaki shule kwa kuiba ubunifu wake
Na NICHOLAS KOMU VIONGOZI wa Mashindano ya Tamasha za muziki nchini wamekanusha vikali madai ya mshairi mmoja kwamba shairi lake...
- by adminleo
- August 10th, 2018
Afisa wa wizara ashtakiwa kuiba tikiti za tamasha
Na JOSEPH WANGUI AFISA wa Wizara ya Elimu aliyedaiwa kuiba mabunda matano ya tikiti za kuhudhuria mashindano ya kitaifa ya tamasha ya...
- by adminleo
- August 7th, 2018
Masharti makali yatolewa kulinda wanafunzi tamashani
Na IRENE MUGO MABASI yanayosafirisha wanafunzi kuhudhuria mashindano ya kitaifa ya muziki yanayoendelea katika Kaunti ya Nyeri...
- by adminleo
- August 6th, 2018
Shule ya walemavu yang’aa tamashani
Na LAWRENCE ONGARO SHULE ya msingi ya walemavu ya JOY Town, mjini Thika, iliibuka ya pili katika mashindano ya muziki yaliyoshirikisha...