Tag: waititu
Babayao akunja mkia kufuata Uhuru
Na MWANGI MUIRURI ALIYEKUWA Gavana wa Kiambu, Bw Ferdinand Ndung’u Waititu amesalimu amri na kuamua kumuunga mkono Rais Uhuru Kenyatta...
Mwaka 2020 ulivyosambaratisha mipango ya Waititu
Na SAMMY WAWERU Ferdinand Ndung’u Waititu si mgeni machoni mwa umma kutokana na umaarufu wake na wa aina yake katika ulingo wa...
EACC yawazima Sonko na Baba Yao
Na CHARLES WASONGA GAVANA wa zamani wa Kiambu Ferdinand Waititu na mwenzake wa Nairobi Mike Mbuvi Sonko wamepata pigo baada ya Tume ya...
- by adminleo
- May 10th, 2020
Waititu alia kuzimiwa simu na aliodhani ni marafiki
Na SIMONI CIURI ALIYEKUWA Gavana wa Kiambu Ferdinand Waititu sasa anadai kuwa watu aliodhani kuwa marafiki zake na aliowasaidia kupata...
- by adminleo
- March 14th, 2020
‘Hii ndiyo dhamira ya Waititu kuingia Kanu’
MERCY KOSKEY na CHARLES WASONGA ALIYEKUWA Gavana wa Kiambu, Bw Ferdinand Waititu Babayao sasa yuko mbioni kujinusuru kisiasa kwa...
- by adminleo
- March 1st, 2020
Kabogo bado amwandama Waititu, afufua kesi ya vyeti
Na JOSEPH WANGUI ALIYEKUWA Gavana wa Kaunti ya Kiambu, William Kabogo, amefufua kesi ambayo alitilia shaka vyeti vya masomo vya mrithi...
- by adminleo
- January 30th, 2020
Babayao ataka ushahidi mkuu ung’olewe
Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) ameomba mahakama itupilie mbali ombi la aliyekuwa Gavana wa Kiambu Ferdinand...
- by adminleo
- January 28th, 2020
Waititu kizimbani seneti mashtaka dhidi yake yakianza kusikizwa
Na PETER MBURU GAVANA wa Kiambu Ferdinand Waititu, Jumanne amekuwa kizimbani Seneti kwa kusikizwa kwa mashtaka ya kutaka kumbandua,...
- by adminleo
- January 21st, 2020
Mvutano wa Uhuru, Ruto watatiza kikao cha kumtimua Waititu
Na CHARLES WASONGA SIASA za mirengo ya Tangatanga na Kieleweke ndani ya Jubilee zilijitokeza wazi jana katika Bunge la Seneti wakati wa...
- by adminleo
- January 21st, 2020
Hali yao mbaya
Na VALENTINE OBARA MAGAVANA sita, wabunge saba na seneta mmoja ni kati ya watu mashuhuri watakaopokonywa walinzi na bunduki...
- by adminleo
- January 11th, 2020
Uzembe wa Seneti huenda ukamnusuru Waititu
Na DAVID MWERE HUENDA mchakato wa kumwondoa mamlakani Gavana wa Kiambu, Ferdind Waititu ukagonga mwamba baada ya kubainika kuwa Bunge la...
- by adminleo
- December 22nd, 2019
Masaibu zaidi yamwandama Gavana Waititu
Na KIPCHUMBA SOME Baada ya madiwani kumvua wadhifa, Gavana wa Kiambu Ferdinand Waititu ameanikwa zaidi baada ya kubainika kuwa familia...