Tag: waititu
- by adminleo
- June 1st, 2019
Waititu aibuka na jipya
Na MWANGI MUIRURI GAVANA wa Kiambu, Ferdinand Waititu, Jumamosi ametoa onyo kuwa ikiwa kuna lolote baya litawatokea baadhi ya watu wa...
- by adminleo
- May 29th, 2019
Masaibu yanayokwandama uliyasaka mwenyewe, Kabogo amwambia Waititu
Na PETER MBURU ALIYEKUWA gavana wa Kiambu William Kabogo amemkashifu Gavana Ferdinand Waititu, akisema kuwa Bw Waititu amekuwa akitumia...
- by adminleo
- May 27th, 2019
Naogopa Mungu na uji moto pekee, Waititu aropokwa
Na PETER MBURU GAVANA wa Kiambu Ferdinand Waititu sasa anasema kuwa hakuna mtu atakayemlazimisha kukoma kumuunga mkono Naibu Rais...
- by adminleo
- May 25th, 2019
Waititu na Nyoro wasisitiza kumuunga Ruto 2022
Na NDUNG’U GACHANE MBUNGE wa Kiharu Ndindi Nyoro amesema kuwa hakuna lolote ambalo litamzuia yeye binafsi na ukanda wa Mlima Kenya...
- by adminleo
- May 24th, 2019
Baba Yao alivyotolewa pumzi
BENSON MATHEKA, ERIC WAINAINA na MARY WAMBUI GAVANA wa Kiambu, Ferdinand Waititu Baba Yao, Alhamisi alikamatwa na maafisa wa Tume ya...
- by adminleo
- May 23rd, 2019
Maafisa wa EACC wafanya msako nyumbani kwa Gavana Waititu
Na MWANDISHI WETU MAAFISA wa Tume ya Maadili na Kupambana dhidi ya Ufisadi (EACC) wamefanya msako Alhamisi katika nyumba ya Gavana wa...
- by adminleo
- May 11th, 2019
Waititu akosoa mahasimu wake kisiasa
Na LAWRENCE ONGARO GAVANA wa Kiambu amewataka wale wote waliomkashifu na kudai kuna ufisadi katika serikali yake wamwombe msamaha. Bw...
- by adminleo
- May 8th, 2019
Wakazi wamtaka Waititu awape huduma bora
Na LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa Thika wameikejeli serikali ya Kaunti ya Kiambu kwa kuzembea katika utendakazi wake katika kile wanachoamini...
- by adminleo
- May 7th, 2019
Baba Yao awataka waliomkaanga kuhusu bajeti wamuombe radhi
Na PETER MBURU GAVANA wa Kiambu Ferdinand Waititu sasa anawataka watu wote waliokuwa wakimkashifu kuhusiana na ripoti kuwa serikali ya...
- by adminleo
- May 6th, 2019
Ruto amtetea Baba Yao kuhusu bajeti tata ya kaunti
Na PETER MBURU NAIBU Rais William Ruto Jumapili alimtetea Gavana wa Kiambu Ferdinand Waititu kutokana na kashfa na wito kuwa ajiuzulu,...
- by adminleo
- May 2nd, 2019
Bajeti ya Baba Yao yaacha maseneta vinywa wazi
Na PETER MBURU GAVANA wa Kiambu Ferdinand Waititu Alhamisi aliacha maseneta kwenye hali ya mshangao, ilipobainika kuwa kaunti yake mwaka...
- by adminleo
- April 28th, 2019
Waliobwagwa 2017 wasubiri kujaribu bahati 2022 – Waititu
Na LAWRENCE ONGARO VIONGOZI walioshindwa uchaguzini wanastahili kuketi kando na kuachia waliochaguliwa kuendesha maendeleo. Gavana wa...