Landilodi atumbukia kwenye choo alichopuuza malalamishi ya wapangaji
Mwanamke huyo anamiliki nyumba ambazo zinatumiwa na wanafunzi wa chuo kikuu cha Kirinyaga, katika Kijiji cha Gitwe.
Kwa mujibu wa ripoti ya polisi iliyoandaliwa kuhusu mkasa huo, mwathiriwa alikuwa ameenda kutii msukumo wa haja kubwa ambapo akijikunyata ndani choo kiliporomoka na kumrusha ndani ya mkusanyiko wa mkojo na kinyesi.