Shangazi Akujibu

SHANGAZI AKUJIBU: Nimechoka kulea watoto peke yangu bila usaidizi wa baba yao, nishauri

Na SHANGAZI December 17th, 2025 Kusoma ni dakika: 1

SWALI: Nalea watoto peke yangu na nimechoka. Sipati uzaidizi wowote kutoka kwa mume wangu. Nimechoka!

Jibu: Pole kwa mazito unayopitia. Kuchoka kutoa msaada bila usaidizi wa mwenzako ni halali. Ni haki kugawa majukumu ya uzazi na mume wako. Uaitelekeze mtoto. Tafuta msaada kwa afisi ya watoto ili usaidiwe kujukumisha mwenzako mzigo wa malezi.

IMETAYARISHWA NA WINNIE ONYANDO