Naomi Wamboi, 21, ndiye anatupambia Taifa Leo Dijitali, yeye ni mwanamitindo aliyewahi kushinda tuzo za Miss Nakuru. Akipata muda anapenda...
Waridi Felly, 19, ni mzaliwa wa kaunti ya Kakamega, wakati mwingi anapenda kujumuika na marafiki na kutazama filamu. Picha/Richard Maosi
Grace Githinji ni mwanafunzi katika taasisi moja mjini Nakuru, yeye ni mjuzi wa vipodozi na mapambo. Wakati mwingi anapenda kupiga picha na...
Spencer Atieno, 22, ni mzaliwa wa kaunti ya Siaya, yeye ni mwanafunzi katika Chuo kimoja jijini Nairobi. Wakati mwingi anapenda kupika na...
Alice Wanjiru, 20, ni mwanafunzi wa mapambo na fasheni kutoka taasisi moja mjini Nakuru. Uraibu wake ni kusafiri,kupika na...
Scolah Wanjiru ni mfanyibiashara kutoka kaunti ndogo ya Naivasha, muda wake mwingi anapenda kusafiri na kupiga picha. Picha/Richard Maosi
Jarim Joram, 20, ndiye anatupambia tovuti yetu leo, yeye ni mwanafunzi kwenye Chuo kimoja mjini Nakuru, anapenda kutazama filamu na...
Tracy Mugo, 24, ni mfanyibiashara na mwanamitindo kutoka kaunti ya Nakuru. Akipata muda anapenda kusafiri, kuogelea na kujumuika na...
Stephanie Wamboi ni mzaliwa wa Limuru, yeye ni mwanamitindo chipukizi ambaye mara nyingi hushughulika na ubunifu wa mitindo ya kisasa....
Margret Wamaitha , 25, ni mwalimu katika shule moja eneo la Maai Mahiu. Anapenda kupiga picha na kujumuika na marafiki. Picha/Richard Maosi
Grace ni mwalimu wa kiingereza katika shule moja eneo la Maai Mahiu, yeye ni mzaliwa wa kaunti ya Nakuru. Anapenda kujumuika na...
Stephanie Wairimu, 24, ni mkazi wa Limuru, yeye ni mwanamitindo na mwanamuziki Chipukizi. Anapenda kutazama filamu za Soap...